Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 2,308
- 4,687
Siku moja tusikie mwigulu nchemba ni rais wa Zanzibar au tumuone mnyakyusa kutoka mbeya akiiongoza ikulu ya Zanzibar ! Kwa Nini mngoni ,mmatumbi na mndengeleko wasiwe na sifa ya kuongoza zanzibar ? Ila wazanzibar wanakuja kutawala Tanganyika? Kwanini muungano wetu upo kama msaafu Kila anaejaribu kuhoji anaonekana mkorofi ? Sisi wa bara tutaenda lini kutawala Zanzibar ?wazanzibar wananufaika zaidi na Tanganyika kuliko Tanganyika inavyoneemeka na Zanzibar ! Ninani atakuja kututoa kwenye huu mtanzuko usio na faida kwa Tanganyika?