Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,895
- 157,164
Msalimie fulani mkuuAu sio
Msalimie fulani mkuuAu sio
Mi nna miaka 46 nipo kwe mbio za kukutaka ndo mana nakuchebacheba, kuna vigezo vichache kati ya ulivyotoa navikamilisha
Msalimie fulani mkuu
Rafiki yako wa dhahabuNani uyo mkuu
Rafiki yako wa dhahabu
Huo huyo Ir onenan uyo mkuu
Asanteee
Tupe mlisho nyuma Lady 😍
Asante sana mahondawMungu akusaidie upate hitaji lamoyo wako mamy!
Hicho kielimu chako ndo kimekufanya uachike😀Kama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner
Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea
Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua, kupanga na kueteleza mipango ya maisha
Awe mkristo kiimani
Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake
Haijalishi kiwango chake cha elimu ni lipi ila awe mwanaume tunayeweza kushare mapenzi na kazi
Mimi nina watoto watatu, elimu yangu shahada mbili, umri 43, mjasiriamali na mtalaka
Sihitaji matusi wa kejeli. Kama una vigezo karibu inbox ya mjumbe
Hicho kielimu chako ndo kimekufanya uachike😀
Si umeshakaribishwa PM
Mbona!?
Farijianen na wazee wenzenu 😅Eti mvi! Kwani mvi dhambi au wenye mvi hawahitaji furaha🤔🤔
Wee nawe acha ushamba sasa
mbona 40 kidogo yaani wanaume mpaka 55 years wapo na ujinga mwingikuna wanaume wengi tu wana 40 years na wana ujinga mwingi sana
Hiyo ladydii ndio id yako mpya enhee