Mwanaume kamili wa kuongezeana furaha na siku za kuishi duniani anatafutwa

Ahsante sana kwa kunishirikisha kwenye masuala nyeti kama haya... tatizo kasema hataki mwenye mke wakati mimi na Sky Eclat tumegandishwa na welding ya roho mtakatifu...

Hebu niulizie kama yuko tayari kuwa mchepuko nijiongezee dhambi kisirisiri...

Mwambie elimu yangu ni VETA nimespesholaizi kwenye kudarizi andawea za kike
daah arooo mkuu unavunja mbavu aisee
 
Nan atafute matatizo....hahhaha...yaa. Kabisaa...hyo cv yako hapo na majibu yako kwa wadau...huna hofu ya mungu.hahahahah....ni matatizo wadau hapo...usijesema hatukukwambia...

Au kama unataka kwenda pima oil tuu...ahhh fresh...

Yaan dada umeshindwa pata bwana hata dereva wa uber huko mtaan unakuja tafta bwana huku kwa sie watu wa masihara meng.?hahahha
 
Nan atafute matatizo....hahhaha...yaa. Kabisaa...hyo cv yako hapo na majibu yako kwa wadau...huna hofu ya mungu.hahahahah....ni matatizo wadau hapo...usijesema hatukukwambia...

Au kama unataka kwenda pima oil tuu...ahhh fresh...

Yaan dada umeshindwa pata bwana hata dereva wa uber huko mtaan unakuja tafta bwana huku kwa sie watu wa masihara meng.?hahahha

kwako wewe madereva uber sio wanaume kama ulivyo Wewe au unamaanisha nini
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Hongera ila hujatupa mrejesho kama umepata au wote wanakuona umechezea ujana alafu unatafuta mtu wa kumletea stress zako??
Kweli kabisa umekosa mvuto k
Na wewe hujaacha mume kwa hiari, anayeowa ndo anaacha, anayeolewa huwa anaachwa, nadhani umenielewa nini namaanisha

wa wanaokuona hadi uje kushawishi wasiokuona????
Ngongingo kazi yake kubwa ni kuamsha mshanjamu na kusogeza mashabiki karibu na uwanja. Ni kama kachumbari ya mbilimbili kwenye nyama ya mbuzi ya kuchoma

Hivi wewe una umri gani😂😂😂😂
Hujielewi hadi huruma
 
Back
Top Bottom