Mwanaume kamili wa kuongezeana furaha na siku za kuishi duniani anatafutwa

Unaonekana unaakili mingimingi, very nice to you••ila sasa wanaume wengi wanapenda wawazidi wanawwake zao Kwa kila kitu
Mungu akujalie upate Hitaji la moyo wako though 🙏

Asante sana. Ila siwezi kumzidi mume kwenye akili za mahusiona. Wanaume siku zote wana nafasi yao. Labda agome tuu kuiishi hiyo nafasi
 
Mimi sijui hii post ni ya lini lakini ninachotaka kusema jf lilikuwa jukwaa matured wakati linatoka jambo kuwa jamii na siku kadhaa mbele, sasa hivi si jukwaa la weledi tena ni la watoto wengi sijui au limekumbwa na kadhia ya wingi wa smart phones! Hivyo unaweza kuwa serious umeweka hoja yako lakini wanatokea wa kui personalize utadhani wakati unaiandaa mlikuwa wote au walikupa wao mawazo hayo!

Inafikia mahala jukwaa kutokuaminika kati ya mtoa post na mchangiaji huwezi kujua mkweli nani!

Umesema kweli kabisa.
 
Ahsante sana kwa kunishirikisha kwenye masuala nyeti kama haya... tatizo kasema hataki mwenye mke wakati mimi na Sky Eclat tumegandishwa na welding ya roho mtakatifu...

Hebu niulizie kama yuko tayari kuwa mchepuko nijiongezee dhambi kisirisiri...

Mwambie elimu yangu ni VETA nimespesholaizi kwenye kudarizi andawea za kike
Hahahahahaaaaa.....Hapo pa kudarizi andawea za kike pamenivunja mbavu...Hahahahaa..
 
Watoto watatu??,sikubali kubebeshwa limzigo la mtu aseee
Huyu akiwa anasoma chuo kikuu alikuwa ameolewa huko chuoni, wakati huo huo uraiani alikuwa mke mtu mwingine . Amemaliza chuo akakutana na talaka ya mume wa uraiani sasa natafita mume wa tatu uraiani baada ya wawili wa awali kumkataa. Baki na masters yako na watoto watatu tu mama na umrinumesonga mbele na maisha ni magumu. Wengi wetu tunahitaji walio zaliwa 2000- 2003
 
Back
Top Bottom