Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,785
218,411
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Tanesco , kwamba hizo mvua mnazoona zinanyesha haziwezi kupunguza mgawo wa umeme kwa vile maji ya mvua hizo hayaingii kwenye mabwawa hayo , haijulikani kama mabwawa hayo yamepigwa Bati juu yake au La

Na mnaambiwa zaidi mvua hizo zinaharibu miundo mbinu na kuongeza matatizo .

Screenshot_2023-11-24-20-30-54-1.png

TANESCO imesema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika ukanda wa Pwani na ukanda wa Ziwa Victoria, mtiririko wa maji yake hauelekei viliko vyanzo vya uzalishaji wa umeme vya Mtera, Kihanzi na Kidatu.

Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga amesema mvua hizo zimeleta athari katika miundombinu ya shirika katika baadhi ya maeneo, hivyo kuongeza changamoto katika upatikanaji wa umeme.
 
Vyanzo kidatu, mtera vyq vya mito yako ni nyqnda za juu kusin lakin kumbuken mwaka jan nyqnda za juu kusin mvua zilinyesha za kutosha ila maji yalimwagwa MAKUSUDI SO KAZ KWENU NA HUK MVUA BADO MPAKA JANUARY NDO ZINACHANGANYA HIVYO MPAKA MWEZ WA TATU NDO VYANZO VITAJAAA
 
Vyanzo kidatu, mtera vyq vya mito yako ni nyqnda za juu kusin lakin kumbuken mwaka jan nyqnda za juu kusin mvua zilinyesha za kutosha ila maji yalimwagwa MAKUSUDI SO KAZ KWENU NA HUK MVUA BADO MPAKA JANUARY NDO ZINACHANGANYA HIVYO MPAKA MWEZ WA TATU NDO VYANZO VITAJAAA
sasa hiyo january ndio maji yataingia kwenye mabwawa ?
 
Vyanzo kidatu, mtera vyq vya mito yako ni nyqnda za juu kusin lakin kumbuken mwaka jan nyqnda za juu kusin mvua zilinyesha za kutosha ila maji yalimwagwa MAKUSUDI SO KAZ KWENU NA HUK MVUA BADO MPAKA JANUARY NDO ZINACHANGANYA HIVYO MPAKA MWEZ WA TATU NDO VYANZO VITAJAAA
Mkuu mwaka jana mvua haikuwa nyingi ila ilinyesha vizuri kwa ajili ya mazao/wakulima mvua Ilikuwa inayesha ndogondogo kwa muda mrefu(maji yanaingia chini) kuhusu maji kumwagwa mtera kwa kweli hilo sijui
 
Iringa huku hakuna mvua ndipo lilipo bwawa la mtera sasa mvua inayesha Dar Kuna bwawa gani linalozalisha umeme?
Duh!
Ila mimi najuaga maji ya mtera ndio yanaenda iringa. Kwasababu huo mto wa iringa chanzo chake ni mtera.

Lakini sawa.
Usikute wanasiasa wanahujumu makusudi kwa faida zao.
 
Back
Top Bottom