siasa na uongo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    Mvua zinazonyesha haziingizi Maji kwenye Mabwawa ya Umeme, acheni kulaumu kuhusu Mgawo

    Hii ndio Taarifa mpya kutoka Tanesco , kwamba hizo mvua mnazoona zinanyesha haziwezi kupunguza mgawo wa umeme kwa vile maji ya mvua hizo hayaingii kwenye mabwawa hayo , haijulikani kama mabwawa hayo yamepigwa Bati juu yake au La Na mnaambiwa zaidi mvua hizo zinaharibu miundo mbinu na kuongeza...
  2. REJESHO HURU

    Wabunge wa majimbo haya hawawajibiki…

    Tunahitaji kuwekana wazi tujue na hao viongozi wajue kumbe jamii inawatizama utendaji wao wa kazi. Mimi naanza na Jimbo la Kawe, wazee tuliyakanyaga. Gwajima hana jipya, tunaomba 2025 ifike mapema, sihitaji kuelezea mengi wapiga kura wa Kawe majibu wanayo. Tuambie, vipi kuhusu Mbunge wako ili...
  3. J

    Swali kwa Wanasiasa: Kati ya Shetani na Binadamu nani ni baba wa Uongo?

    Inadaiwa Shetani alimdanganya Eva pale katika bustani ya Eden, alimdanganya nini? Ni nani aliyemuambia Adam kwamba yu uchi baada ya kula tunda alilokatazwa na Mungu asile? Yawezekana shetani anasingiziwa mengi. Maoni na Majawabu tafadhali!
Back
Top Bottom