TANESCO: Mvua zimeleta athari katika miundombinu ya umeme

Exile

JF-Expert Member
Feb 21, 2021
1,406
3,363
TANESCO imesema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika ukanda wa Pwani na ukanda wa Ziwa Victoria, mtiririko wa maji yake hauelekei viliko vyanzo vya uzalishaji wa umeme vya Mtera, Kihanzi na Kidatu.

Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga amesema mvua hizo zimeleta athari katika miundombinu ya shirika katika baadhi ya maeneo, hivyo kuongeza changamoto katika upatikanaji wa umeme.
Source swahili times

NB: Lakini hii ni aibu kwa taifa na TANESCO maana TANESCO hawataki masika hawataki kiangazi. Mnapata wapi nguvu za kuitetea CCM
 
Unajua ni bora akae kimya wala haina shida....ukweli anaujua fika...kama anajiamini aseme otherwise aache tu..
 
Tanesco wako sahihi.

Mvua ikinyesha maeneo ya Arusha, Kilimanjaro maji yanajaza nyumbani ya Mungu na Pangani ama Hale.

Mvua ikishenya Morogoro, Mbeya, Iringa , Singida inajaza Kidatu, Mtera, Kihansi.

Mvua ikinyesha Morogoro na Mbeya, Iringa maji yana bwawa la mwalimu Nyerere.

Mvua ikinyesha Pwani, Dar, Kanda ya Ziwa maji yanapotelea baharini na Ziwani.

Hii ni elimu ya kawaida ya kijiografia Tanzania.
 
Tanesco wako sahihi.

Mvua ikinyesha maeneo ya Arusha, Kilimanjaro maji yanajaza nyumbani ya Mungu na Pangani ama Hale.

Mvua ikishenya Morogoro, Mbeya, Iringa , Singida inajaza Kidatu, Mtera, Kihansi.

Mvua ikinyesha Morogoro na Mbeya, Iringa maji yana bwawa la mwalimu Nyerere.

Mvua ikinyesha Pwani, Dar, Kanda ya Ziwa maji yanapotelea baharini na Ziwani.

Hii ni elimu ya kawaida ya kijiografia Tanzania.
Au sio mnafiki wakujitegemea 😁😁
 
Shirika la ovyo sana hili ulipie nguzo harafu nguzo sio zako???unapasuka milion na ushee unavuvuta wiki ijayo jirani anaunganishwa kwa laki tatu ww ulie uvuta kwa mamilion ubabaki kucheka tu.Bado sasa ndo unakutana kila siku na visingizio mara maji hakuna mara maji yameharibu miundo mbinu umeme wa shida.Tanesco badilikeni kuweni siriazi bwana km kipindi cha Jpm
 
TANESCO imesema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hususani katika ukanda wa Pwani na ukanda wa Ziwa Victoria, mtiririko wa maji yake hauelekei viliko vyanzo vya uzalishaji wa umeme vya Mtera, Kihanzi na Kidatu.

Mkurugenzi wa TANESCO, Eng. Gissima Nyamo-Hanga amesema mvua hizo zimeleta athari katika miundombinu ya shirika katika baadhi ya maeneo, hivyo kuongeza changamoto katika upatikanaji wa umeme.
Source swahili times

NB: Lakini hii ni aibu kwa taifa na TANESCO maana TANESCO hawataki masika hawataki kiangazi. Mnapata wapi nguvu za kuitetea CCM
Tanesco madako yao
 
Back
Top Bottom