Muswada wa Marekebisho Sheria-2020: Unajua watu hawataweza kudai haki kwa niaba ya Wanyonge? Viongozi wa juu Serikalini hawatashtakiwa moja kwa moja!

Hii nchi Ina watawala wa ajabu sana ,naona wstatawala milele ,Mungu atupe uzime tuje tuwaone wsnavyopandishwa the hague.
 
Hii ndiyo maana halisi ya 'serikali ya wanyonge'. Mnyonge anyongwe akishakufa apewe haki yake ya maziko.

Huwa nawacheki wale wanao aminishwa kuwa unyonge ni sifa ya maana kuwa nayo nasema hiiiiii...
 
Chato regime on fleek
 
Wataondoka na sisi tutairudisha nchi kwenye utawala wa sheria
Wakati ni sasa, wanatakiwa wapingwe nje na ndani, kwa gharama yoyote...hili la kusema wataondoka na sisi tutairudisha ni kukubali kushindwa asubuhi. Hawa wakiishajiwekea hizo kinga hamuwatoi madarakani na ndipo watakapowavuruga kuliko kawaida! Wapingwe sasa
 
unakaa nyagwa wewe, , unajua maana ya Uhuru wa bendera, au mpaka ukifa ndipo ukamsumbue Nyerere akujuze, ukoloni mamboleo ndio misingi ya katiba zetu hizi za kiafrika sawa mama mdogo
 
Sio kweli, viongozi wa kiafrika wanavunja katiba zao kwa manufaa yao binafsi.
kwasababu katiba zenyewe zimekaa kimtegomtego kuvunjwa na ni rahisi sana kwa kiongozi wa afrika kuvunja katiba ,hilo linawezekana sana tu ,ilihali sio.wote
 
Watu wanafanya maandalizi ya kunajisi katiba ya nchi ndiyo maana wanatunga sheria ya kuwalinda alafu mataga yanakenua kama ngiri
Namkumbuka marehemu Mtikila. Angekuwepo angefungua kesi mahakama ya rufaa kupinga. Anyway, alikuwa mwanasheria. Wanasheria mpo wapi? Ama sisi walala hoi tufanyeje sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…