Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Haaa haaaa teeh teeeeh ngoja nichekee kabisaaaaa,,, "kumbe ndiyo sababu hiyo yko yaa kwanza " inayokufanya unahitaji kujua mishahara yao na sio chochote! ila mi nakuhakikishia wanaohitaji mishahara ya wengine wana lao mfano SIO WANTANZANIA!! Hata Hon. Dr.Magufuli [President] alitoa, ila hakusema kila mtu mshahara wake utajwe alisema tu mtu asipewe zaidi ya 15M hakutaja nani au wapi. Elewa hivyo aisee mbona ni rahisi sana kuelewa!
Sometimes inakubidi u_control ego zako.
Mimi sio mleta mada.
Jaribu kusoma my previous comments utaelewa ya kwamba if someone yuko serious kujua mishahara ya wanajeshi ni very easy kama kula mkate. Hata wasiokua na meno wanatufuna
 
aaaa wnazuoniii.. kwan kibaya kpi... mxahra wwza kkupa ham n chachu y kfnya jmboo.... mbna sekta nyngne mixhara yao yajadliwa jpo c rasmi bnaaa... tz ya wote
 
nasikia nasikia sikia eti ni laki 250,000🙄🙄🙄😉😉😉😉
 
Unafahamu maana ya kusema kuwa "uko vizuri au kichwani kuna tatizo?" Jifunze kutumia lugha ya kiungwana au uungwana...hupungukiwi na lolote ukitumia lugha nzuri...ukitumia lugha mbovu unapungukiwa na mengi, moja ni kudharaulika katika jamii...kuandika kwa matusi, kejeli na dharau ni sawa na kutamka maneno ya dharau, kejeli na matusi katika jamii...fikiria mwenyewe ikiwa umezoea kutamka maneno ya dharau, kejeli na matusi katika jamii, watu wanakuchukuliaje? halafu humu ndani ya JF kuna watu wa aina nyingi jkwa umri, elimu, hadhi na kadhalika...Sasa basi kujibu swali lako HIVI UNAFIKIRI NI SAHIHI KUANIKA HADHARANI MISHAHARA YA WANAJESHI, POLISI NA WATUMISHI WENGINE WA VYOMBO VYA DOLA? kAA CHINI NA UTAFAKARI KWA KINA.
OK. UNADHANI NI KWA JINSI GANI KUFAHAMU MSHAHARA WA MWANAJESHI KUNAWEZA KUHATARISHA USALAMA WA NCHI? ELEZA KWA UFASAHA ILI HATA MIMI MWENYE KICHWA CHA PANZI NIELEWE.
 
kama sio KAZI na MISHAHARA wanayolipwa ni ya nini? ama kweli kwewe ni ndama1 bado akili zako hazijakomaa.
Sheria za ajira zinasema unapoajiliwa first kuna makubaliano ya mshahara baina ya mwajili na mwajiliwa sasa uliza kama kuna mjeda ambae alikubaliana suala la mshahara.
 
ingekugharimu nini kusema hujui ama kupita kimya? Idara nyeti kwani hiyo pesa yake inatoka wapi kama si kodi zetu. Unadhani vijana wasomi watahamasika vipi kwenda jeshini bila kujua manufaa yake ikiwemo mshahara?
Kuna shida kubwa katika nchi hii kutaka kufanya kila kitu eti ni nyeti.
 
Sheria za ajira zinasema unapoajiliwa first kuna makubaliano ya mshahara baina ya mwajili na mwajiliwa sasa uliza kama kuna mjeda ambae alikubaliana suala la mshahara.
bado hujajibu swali. kama mnadai jeshi sio KAZI ila ni KUJITOLEA mbona wanalipwa MISHAHARA (monthly salary)?
 
OK. UNADHANI NI KWA JINSI GANI KUFAHAMU MSHAHARA WA MWANAJESHI KUNAWEZA KUHATARISHA USALAMA WA NCHI? ELEZA KWA UFASAHA ILI HATA MIMI MWENYE KICHWA CHA PANZI NIELEWE.

Bado unarudia kuandika lugha ya kuudhi: "mwenye kichwa cha panzi". Wewe ni mgumu kuelewa na pia kama hufahamu ubaya wa kutangaza hadharani mishahara ya wanajeshi na watumishi wengine wa vyombo vya dola, nadhani mjadala kati yangu na wewe tuishie hapa hapa.
 
Bado unarudia kuandika lugha ya kuudhi: "mwenye kichwa cha panzi". Wewe ni mgumu kuelewa na pia kama hufahamu ubaya wa kutangaza hadharani mishahara ya wanajeshi na watumishi wengine wa vyombo vya dola, nadhani mjadala kati yangu na wewe tuishie hapa hapa.
Uoga Wako umaskini Wako, hii nchi wanaume Ni waoga kuliko wanawake
 
Bado unarudia kuandika lugha ya kuudhi: "mwenye kichwa cha panzi". Wewe ni mgumu kuelewa na pia kama hufahamu ubaya wa kutangaza hadharani mishahara ya wanajeshi na watumishi wengine wa vyombo vya dola, nadhani mjadala kati yangu na wewe tuishie hapa hapa.
basi kama huna SABABU ya kuzuia watu wasijue mishahara ya wanajeshi, KAA KIMYA!
 
basi kama huna SABABU ya kuzuia watu wasijue mishahara ya wanajeshi, KAA KIMYA!

Kwani hujanielewa pia hata kwenye post hiyo...nimeshakaa kimya kitambo, sasa wewe unataka kuendeleza mjadala huu kati yangu na wewe...mimi na wewe 'tumeshamalizana' .
 
Nasikia kamshahara wanazidiwa na mwl lakini posho ni zaidi ya mshahara.
 
Mi naona huyu na wengine wenye tabia hizi wasipewe hata ushauri wa mahali pa kwenda kupata hizo taarifa na ikitokea wamefika basi huko taarifa ziliko ijulikane kweli ni Watanzania na wanahitaji hizo taarifa kwa sababu zipi? ila kama sivyo daaah, tutakulachanga la macho.
Asiye na njaa hahitaji chakula.
Wewe uliye na ufaham na kwa uwezo wa akili yako, ukiona mtu anapotoka ni wajib wako kumuelimisha kwa lile jema unalodhania ama kulifaham.
Sio sawa kushawishi wengine kuacha kutoa elimu.

Usiwe hasi wala chanya pekeyake.
Jifunze kutazama mambo kwaundani.
 
Back
Top Bottom