Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Ndugu umeishia darasa la ngap?au vidudu ukafeli mtihan wa kuingia chekechea?

Mtu kam ww na hao makolo wenzio hamtakiwi kabisa kuibgia jeshi au sekta yoyote ya ulinzi hapa nchin maana mtatuuza raia km sio kwa pesa bac kwa penz km delila na samson.

Afu kod yako ww ni sh.ngap mpaka ulinganishe na maisha ya mtu aliye jitoa kwa ajili ya wengine???kwanza unatoa kod ww??

Usirudie kutuuliza upaaambafuuu wako humu.
...hao ni tunawaita vilaza mkuu
 
Hivi ni kwanini wafuasi wa chadema ndio wanauliza mishahara ya watumishi wa serikali? Wana ajenda gani?
 
Unafahamu maana ya kusema kuwa "uko vizuri au kichwani kuna tatizo?" Jifunze kutumia lugha ya kiungwana au uungwana...hupungukiwi na lolote ukitumia lugha nzuri...ukitumia lugha mbovu unapungukiwa na mengi, moja ni kudharaulika katika jamii...kuandika kwa matusi, kejeli na dharau ni sawa na kutamka maneno ya dharau, kejeli na matusi katika jamii...fikiria mwenyewe ikiwa umezoea kutamka maneno ya dharau, kejeli na matusi katika jamii, watu wanakuchukuliaje? halafu humu ndani ya JF kuna watu wa aina nyingi jkwa umri, elimu, hadhi na kadhalika...Sasa basi kujibu swali lako HIVI UNAFIKIRI NI SAHIHI KUANIKA HADHARANI MISHAHARA YA WANAJESHI, POLISI NA WATUMISHI WENGINE WA VYOMBO VYA DOLA? kAA CHINI NA UTAFAKARI KWA KINA.
Mkuu ukimfuatilia huyo ndio muuliza swali alitumia ID nyingine halafu kaja kutetea kwa ID nyingine
 
mpaka #251 hakuna jibu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] wanajeshi mmetisha, yaan hata wale memba hum hawatoi majib, duh kwel jesh noma, salut brother's...
Mkuu kuna vitu vinajibika lakini kuna vitu huwa havijibiki kabisa
 
Yani huyo kijana ambaye anaingia jeshini kufata mishahara hafai kabisa kuwa askari. Hafai kabisa, hawa ndio ambao wanaosaliti nchi kwa kununuliwa,

By the way acha kuuliza mishahara ya watu.[emoji378]
Haulizi mishahara ya watu, anauliza mishahara ya kwa kazi ya uanajeshi kwa viwango hivyo vya elimu. nani alikwambia mshahara jeshini ni siri nyeti? Unajua kama wewe ndio unawalipa mshahara wanajeshi kupitia kodi unayotoa (kama unalipa kodi lakini)?
 
Wakuu kama huwezi sema apa nitumie private message kunipa hata 'round figure' ya mshaara atakaoanzia kijana atakayefuzu mafunzo ya JWTZ akijiunga kwa elimu hizi;

1. Form six.

2. Shahada moja.

Sababu.
Nina vijana wangu wengi wanaimba tuu kuwa jeshini unapata mshahara mkubwa na maisha ni kitonga baada ya mafunzo.
Wakuu kama huwezi sema apa nitumie private message kunipa hata 'round figure' ya mshaara atakaoanzia kijana atakayefuzu mafunzo ya JWTZ akijiunga kwa elimu hizi;

1. Form six.

2. Shahada moja.

Sababu.
Nina vijana wangu wengi wanaimba tuu kuwa jeshini unapata mshahara mkubwa na maisha ni kitonga baada ya mafunzo.
Mkuu!Nilikuwa na shemeji yangu ameolewa na mwanajesh,lakni ktk tetec aliwah kusema jamaa alikuwa akpata c chni ya lak 7.wa kawaida sasa kwa wenye vyeo cjui na wewe fuatilia.
 
Mkuu!Nilikuwa na shemeji yangu ameolewa na mwanajesh,lakni ktk tetec aliwah kusema jamaa alikuwa akpata c chni ya lak 7.wa kawaida sasa kwa wenye vyeo cjui na wewe fuatilia.
Jibu zuri hilo
 
Wang'oa meno bila ganzi wanaipitia hii thread kwa kasi, inabidi mtu uwe attension na ganzi yako mfukoni kujinusuru na maumivu,
 
Jeshini sio sehem ya kutegemea malipo, ni Taasisi iliyoundwa na wenye mioyo ya kijasiri na walio tayari kwa lolote mda wowote, kuhoji malipo jeshini ni moja ya udhaifu wa kukuonyesha kuwa hufai kuwa mwanajeshi, kama huna moyo wa kuhimili mafunzo na mazingira ya kazi (mstuni) hata ungelipwa kiasi gani huwezi kukaa jeshini, hatufuati malipo bali ni kuipenda kazi ya uanajeshi na kujiamini kwa 24/7 kuwa wewe ni rasilimali mhimu yenye kusimamia usalama wa raia wengine iwe usiku, mwituni(jungle), jangwani, majini, usiku au mchana,
Je, kwa hayo yote kama ni malipo asikari angelipwa mamilion mangapi?
NB: jeshi sio Taasisi ya kutoa ajira bali Taasisi ya kimafunzo na ulinzi.
Safi sana mkuu,umefunga mjadala
 
ww jamal cyo kosa lako hujui unachokiongea jeshi ni sekta nyeti mno uzalendo ndo kitu kikubwa kuliko unavyodhani ukiona watu wanakmbilia jeshikwa kufata mshahara iyo n hatar coz mwanajesh ndo mtu anatakiwa kupigania nchi yake hata kama imefulia kiasi gn ndo mana ata anakubali kuhatarisha maisha yke muda wwte ule
ingekugharimu nini kusema hujui ama kupita kimya? Idara nyeti kwani hiyo pesa yake inatoka wapi kama si kodi zetu. Unadhani vijana wasomi watahamasika vipi kwenda jeshini bila kujua manufaa yake ikiwemo mshahara?
w
 
ww jamal cyo kosa lako hujui unachokiongea jeshi ni sekta nyeti mno uzalendo ndo kitu kikubwa kuliko unavyodhani ukiona watu wanakmbilia jeshikwa kufata mshahara iyo n hatar coz mwanajesh ndo mtu anatakiwa kupigania nchi yake hata kama imefulia kiasi gn ndo mana ata anakubali kuhatarisha maisha yke muda wwte ule

w
Hongera, umeongeza idadi ya post, jitahidi.
 
Acha kutisha watu buana. Mishahara ya wanajeshi sio siri kiasi hicho. Mishahara hii inapitia benki za kawaida simply that a normal tailer anajua mshahara wa Mwanajeshi.


Nimejaribu kupitia comments mbalimbali nimegundua mambo machache.
Kwanza, wanajeshi wanatambo nyingi huku uraiani so hawataki tujue wanapewa kiasi gani.
Pili, kuna watu wanaamini wanajeshi ni miungu ambao hawajadiliwi which is nonsense
Tatu, watu hawajui kuwa jeshi ni ajira.


Haaa haaaa teeh teeeeh ngoja nichekee kabisaaaaa,,, "kumbe ndiyo sababu hiyo yko yaa kwanza " inayokufanya unahitaji kujua mishahara yao na sio chochote! ila mi nakuhakikishia wanaohitaji mishahara ya wengine wana lao mfano SIO WANTANZANIA!! Hata Hon. Dr.Magufuli [President] alitoa, ila hakusema kila mtu mshahara wake utajwe alisema tu mtu asipewe zaidi ya 15M hakutaja nani au wapi. Elewa hivyo aisee mbona ni rahisi sana kuelewa!
 
ingekugharimu nini kusema hujui ama kupita kimya? Idara nyeti kwani hiyo pesa yake inatoka wapi kama si kodi zetu. Unadhani vijana wasomi watahamasika vipi kwenda jeshini bila kujua manufaa yake ikiwemo mshahara?
Jeshini mtu haendi kwa sababu ya mshahara wanaolipwa balia kila anayetaka kujiunga na jeshi ajue kuwa ni kujitolea zaidi, ni mzalendo zaidi kwa nchi yake na yuko tayari kufa wakati wowote pengine kabla hata hajaanza kupokea huo mshahara. Kama hao vijana wako wanatamani kwenda jeshini eti kwasababu ni kitonga huko hakuwahusu wasiende.
 
Back
Top Bottom