Jeshini sio sehem ya kutegemea malipo, ni Taasisi iliyoundwa na wenye mioyo ya kijasiri na walio tayari kwa lolote mda wowote, kuhoji malipo jeshini ni moja ya udhaifu wa kukuonyesha kuwa hufai kuwa mwanajeshi, kama huna moyo wa kuhimili mafunzo na mazingira ya kazi (mstuni) hata ungelipwa kiasi gani huwezi kukaa jeshini, hatufuati malipo bali ni kuipenda kazi ya uanajeshi na kujiamini kwa 24/7 kuwa wewe ni rasilimali mhimu yenye kusimamia usalama wa raia wengine iwe usiku, mwituni(jungle), jangwani, majini, usiku au mchana,
Je, kwa hayo yote kama ni malipo asikari angelipwa mamilion mangapi?
NB: jeshi sio Taasisi ya kutoa ajira bali Taasisi ya kimafunzo na ulinzi.