MiniActivist
Member
- Dec 9, 2011
- 67
- 46
- Thread starter
- #281
Kinachoonekana hapa kuna wengine hatufaham ila kunyamaza inakua tatizo.Mshahara wa mwanajeshi kuwekwa hadharani una madhara hani katika nchi? nadhani ni uoga na hofu isiyokuwa na msingi, hawa wanajeshi tunaishi nao mtaan ni ndugu na marafiki zetu mishahara yako, posho zao na benefits nyingine kwenye financial institutions tunazijua kwa uwaza tu. Mtu angeuliza mafunzo wanayopitia angalau tungeweza kusema siri ila sio mshahara. Na jeshi sio kujitolea kwa miaka hii ni ajira kama ajira nyingine tu na wanamishahara mizur kuliko kada nyingine kama Polisi, Magareza , waalimu na Afya.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Kama mtu anafaham na nimehitaji kutumiwa direct message au private message, tena sema kiasi kadirishi.
Shida ipo wapi hapo?