Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Mawakili nao vip?
Mawakili muwe mnajiajiri.
Umesoma LLb 4 years.
LST 1 year.
Umepga field unashindwa kufungua ka frem ka chumba kimoja ukatafuta mkaka aliyesomea secretary na benchi moja mkaanza kazi?
Sasa hivi mmefika , 12,000.
Baada ya miaka 10 mtakuwa wengi walim.
Jiajirini.
 
Mishahara minono wanafaidi ma afsa kuanzia meja kwenda juu - hawa wenzangu mie ni matatizo kama yetu.
2m take home na kushuka, kinachosaidia wengi wao wanaishi makambini so mishahara yao ni pure saving.
 
Mkuu kama watu wanajiunga na jeshi kupata mshahara mzuri,si ndiyo hao ambao wakiguswa kidogo mitaani wanaenda kupiga raia wasio na hatia?
 
Nilipokuwa jeshini zamani, nilipokuwa private tulikuwa tunalipwa sh. 500 per month. Yaani, " dala". Ndiyo ulikuwa mshahara wetu. Siku hizi ni coin ya kupanda daladala. Hii hela,of course, tulikuwa hatuipati yote, tulikuwa tunapata ,,' advance ' ya sh. 1500 tarehe kumi na tano,na sh 350 tarehe thelathini.
Sasa ngoja nikueleze mshahara wetu tulipokuwa maafisa, nilipokuwa luteni.
Nilipokuwa luteni nilikuwa naliowa sh. 1900 kwa mwezi. Nikifika Mbowe Disco nawanunulia drinks rafiki,wanaambizana,"hapo ipo kazi".
 
Nilipokuwa jeshini zamani, nilipokuwa private tulikuwa tunalipwa sh. 500 per month. Yaani, " dala". Ndiyo ulikuwa mshahara wetu. Siku hizi ni coin ya kupanda daladala. Hii hela,of course, tulikuwa hatuipati yote, tulikuwa tunapata ,,' advance ' ya sh. 1500 tarehe kumi na tano,na sh 350 tarehe thelathini.
Sasa ngoja nikueleze mshahara wetu tulipokuwa maafisa, nilipokuwa luteni.
Nilipokuwa luteni nilikuwa naliowa sh. 1900 kwa mwezi. Nikifika Mbowe Disco nawanunulia drinks rafiki,wanaambizana,"hapo ipo kazi".
Ya sasa
 
Back
Top Bottom