KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 669
Wakuu kama huwezi sema hapa nitumie private message kunipa hata 'round figure' ya mshahara atakaoanzia kijana atakayefuzu mafunzo ya UHAMIAJI akijiunga kwa elimu hizi;
1. Form six.
2. Shahada moja.
Sababu.
Nina vijana wangu wengi wanaimba tuu kuwa UHAMIAJI unapata mshahara mkubwa na maisha ni kitonga baada ya mafunzo.
1. Form six.
2. Shahada moja.
Sababu.
Nina vijana wangu wengi wanaimba tuu kuwa UHAMIAJI unapata mshahara mkubwa na maisha ni kitonga baada ya mafunzo.