Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Ni kazi ya wito tu hakuna anaelipwa... Mzalendo wa kwanza kwa taifa Lake ni MWANAJESHI WA JESHI LA WANANCHI...
 
Nimekwambia recently mawasiliano ya kijeshi yalikua yanafanyika through yahoo wakati hacker anayeanza anaweza ku hack yahoo.
Mishahara ya jeshi inapita benki na nimesikia kuna salary slips.
Jamani, acheni kukuza mambo
Kwani mkuu hayajaisha tu bado mi mbona nishasahau.
 
Unaniita mi mpumbavu? Hujui kujibu hoja bila matusi? Wazoee wenye level zako mkuu kwa heshima mi Siwezi nikabishana na wewe ambaye mambo unayapeleka kienyeji utadhani jeshini ni tempo ya kufundisha, kila Taasisi ina miiko yake, sio kila sehemu utatajiwa mshahara, jeshi hatuiti ajira ni kujitolea kwa uzalendo na kulinda taifa,

Ila naomba tafadhali usirudie tena kunitusi maana hatufahamiani pia hakukuwa na ulazima wa kufanya hivyo, ukikataa kueleweshwa humu nenda ngerengere 92kj uulize malipo, utaeleweshwa na salary slip utaonyeshwa, ni wakarim mno hujapata kuona.
Na nyie. Hasira zenu huko huko makambini. Mnaleta mihasira yenu hadi huku uraian kama vipi si muende libya. Huku ni social interactions
 
Mshahara wa mwanajeshi kuwekwa hadharani una madhara hani katika nchi???nadhani ni uoga na hofu isiyokuwa na msingi, hawa wanajeshi tunaishi nao mtaan ni ndugu na marafiki zetu mishahara yako, posho zao na benefits nyingine kwenye financial institutions tunazijua kwa uwaza tu. Mtu angeuliza mafunzo wanayopitia angalau tungeweza kusema siri ila sio mshahara. Na jeshi sio kujitolea kwa miaka hii ni ajira kama ajira nyingine tu na wanamishahara mizur kuliko kada nyingine kama Polisi, Magareza , waalimu na Afya.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
mkuu umeongea vizuri sana...jeshi ni KAZI kama kazi zingine ila kuna miKITWANGA mingine imetunisha macho mekundu humu inawapotosha watu kwamba jeshi ni KUJITOLEA wakati yenyewe imetunisha matumbo uraiani.
 
huyu jamaa hata nashindwa nimpe jibu gani bila shaka atakuwa anafikiria kwa kutumia matako
 
mkuu umeongea vizuri sana...jeshi ni KAZI kama kazi zingine ila kuna miKITWANGA mingine imetunisha macho mekundu humu inawapotosha watu kwamba jeshi ni KUJITOLEA wakati yenyewe imetunisha matumbo uraiani.
Kwa mara ya kwanza nimetokea kupenda michango yako but nakuomba upunguze asira.
 
hata akiujua utamsaidia nini sasa, mshahara wa Raisi hata ukiujua haukufanyi uvutike kuiomba nafasi hiyo,,,, sasa jeshini ni kada ya kawaida kabisa kama mtu unapenda kujiunga na jeshi wewe nenda kajiunge si basii suala la mshahara utakutana nalo huko huko sio suala letu huna uzalendo wewe maana unatanguliza pesa sana badala ya wito binafsi
Wito uko kwa mapadri na walimu tu acheni ubabaishaji
 
wewe ni mtu hewa kabisa. kwahiyo kama ni kodi za wananchi ndio waanike humu payroll yake? Never on Earth. Nenda Makao Makuu ya Jeshi Ngome utajibiwa maswali yako.
kama huna jibu si ukae kimya? kinakuwasha nini?
 
Acha kutishia watu humu. Kama sio kazi na hampewi mshahara sasa salary slip za nini? Unajiona unajua mambo lakini bado saaana.
NB: hapa sio jeshini ni Jamiiforums na kaurimbio yetu ni We Dare to Talk Openly. So usitutisheeeeeeeeeeeee
Umetishwa na nani? Do you think jamiiforums is worthier than preserving some norms of each institution? Keep on knowing that jf is merely a social network, never expect to achieve confidential issues as you intended, rather you will receive some tiny drops of opinions related to your doubt or request....

You still having no ideas on this, and I bet you won't ever know, your problem is keeping yourself as special person who have the right of being informed each structure of a respective institution,
Know that you have got some limitations of your rights, on which obedience is a key object, don't think that you're too deserved...

For your such ideas we are slowly leaving behind our defence and intelligence capabilities for the reason of your rights!!!
 
N

Labda nguvu za kupasua matofali,acha kunichekesha eti maarifa maarifa yapi hayo huku technologia na vifaa vyote ni imported kutoka nje
Unaelewa maana ya teknolojia? Nenda kajisomee upya bado una safari ndefu
 
Back
Top Bottom