dlamini
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 368
- 122
Hutanielewa. Ngoja Nikuache Maana Humu JF kila mtu mjuaji. Kila la heri.Ya nini kuitana majina? Uhewa kwa uwa na mtazamo tofauti na wako? Hajauliza kiasi rasmi na kama mwananchi kujuwa estimate ya mshahara wa mtumishi wa serikali ni haki yake. Tuepuka kuweka itikadi ya kufanya kila jambo siri maana ndio inapeleka ufisadi baadae. Kujua mshahara wa mtumishi wa umma sio siri ya serikali ambayo inweza kuhatarisha usalama wa nchi.