Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Huyu muuliza swali kwa nini haulizi usalama wa taifa wanalipwa shs ngapi mpaka aulize wa mwanajeshi hizo idara za usalama zingime mishahara yao anijua?
 
Huyu muuliza swali kwa nini haulizi usalama wa taifa wanalipwa shs ngapi mpaka aulize wa mwanajeshi hizo idara za usalama zingime mishahara yao anijua?
Unataka
Huyu muuliza swali kwa nini haulizi usalama wa taifa wanalipwa shs ngapi mpaka aulize wa mwanajeshi hizo idara za usalama zingime mishahara yao anijua?
kumpangia cha kuuliza? Yeye kataka kujua Habari za wanajeshi wewe unaleta makapi? Jifunze kusoma na kuelewa dogo
 
Huyu muuliza swali kwa nini haulizi usalama wa taifa wanalipwa shs ngapi mpaka aulize wa mwanajeshi hizo idara za usalama zingime mishahara yao anijua?
Dah anajua huwezi kumtaka aulize kila kitu anauliza anachotaka kujua.Mkuu........
 
Ila jwtz bado sana hasa katika uwepo wa professionals katika sector mbalimbali maana kuna siku nilienda pale mlalakuwa doh mambo niliyoyaona mweeh blah blah nyingi mno yani hata hili la information system ndani ya sehem husika linakosa mtu wa kulicontrol na kulisupervise ???!
 
Wakuu kama huwezi sema apa nitumie private message kunipa hata 'round figure' ya mshaara atakaoanzia kijana atakayefuzu mafunzo ya JWTZ akijiunga kwa elimu hizi;

1. Form six.

2. Shahada moja.

Sababu.
Nina vijana wangu wengi wanaimba tuu kuwa jeshini unapata mshahara mkubwa na maisha ni kitonga baada ya mafunzo.
Kazi ya jeshi lazma uwe mzalendo, hakuna mshahara unaoweza kuzidi uhuru na haki ya kuishi, mwanajeshi ni mtu ambaye uhai wake ameutoa bila kujali gharama, hao vijana wako lazma wajue hilo.
 
Mbona mnapenda kukuzà vitu kwani mshahara una siri gara au ndi nyakara nyeti. mishahara ya nchi zilizoendelea ya wanajeshi kama UK na USA Mbona ipo hadharani kila mtu anajuwa
 
ingekugharimu nini kusema hujui ama kupita kimya? Idara nyeti kwani hiyo pesa yake inatoka wapi kama si kodi zetu. Unadhani vijana wasomi watahamasika vipi kwenda jeshini bila kujua manufaa yake ikiwemo mshahara?


Ungemtajia kabisa na huo mshahara anaouliza
 
Mbona mnapenda kukuzà vitu kwani mshahara una siri gara au ndi nyakara nyeti. mishahara ya nchi zilizoendelea ya wanajeshi kama UK na USA Mbona ipo hadharani kila mtu anajuwa
Mkuu ukiona mshahara wa mtu unakuwa siri. Basi ujue either ni mdogo sana au ni mkubwa sana. Kiasi kwamba unaweza kuzua taharuki wengine wakijua.

Ndio maana huwa ni siri. Sasa kwa mfano siku ukajua kuwa mtu mkubwa jeshini analipwa kiasi gani unaweza ukaanza kumdharau. Kwa hiyo sio vyema. Wacha iwe siri tu
 
Kazi ya jeshi lazma uwe mzalendo, hakuna mshahara unaoweza kuzidi uhuru na haki ya kuishi, mwanajeshi ni mtu ambaye uhai wake ameutoa bila kujali gharama, hao vijana wako lazma wajue hilo.

Muulizaji ameuliza mshahara, kama huujui si upite kimya?
Hukulazimishwa kujibu
 
ha ha ha kweli kuna baadhi ya mambo yananifanya niwakubali sana watanzania!!.....its serious, hakuna haja kabisa ya kuweka issue nyeti kama hiyo mitandaoni

Muulizaji ameuliza mshahara, kama huujui si upite kimya?
Hukulazimishwa kujibu
 
Mishahara mi siri kila mtu ofisi yoyote ana mshahara wake kutegemea ma ye mwenyewe alivyousuka.....

Hakuna mtu ambaye atakutajia mshahara wake bila sababu....

Utamu wa ngoma ingia uicheze....

Alafu mshahara sio elimu yako... mshahara ni uwajibikaj wako na majukumu ya kazi....

Ukiwa na degree ukawa unafungua geti la boss utamzid form four ambaye ni mwasibu wa boss??


Usiwe unakurupuka.... usitafute kazi kwa kufata elimu...

Anza na roho yako iko willing then fanya kazi...

Tamaaa za mishahara mikubwa zitakutokea puani braza... u may end up punga au punda...

Komaa ulipo.... tu.
Jeshi waachie wanajeshi.


Kwanza kuna ofisi gani inayolipa kidato... eti form 6.

Kidooogo professional inaangaliwa...
USIKURUPUKE.
 
Back
Top Bottom