Unaniita mi mpumbavu? Hujui kujibu hoja bila matusi? Wazoee wenye level zako mkuu kwa heshima mi Siwezi nikabishana na wewe ambaye mambo unayapeleka kienyeji utadhani jeshini ni tempo ya kufundisha, kila Taasisi ina miiko yake, sio kila sehemu utatajiwa mshahara, jeshi hatuiti ajira ni kujitolea kwa uzalendo na kulinda taifa,
Ila naomba tafadhali usirudie tena kunitusi maana hatufahamiani pia hakukuwa na ulazima wa kufanya hivyo, ukikataa kueleweshwa humu nenda ngerengere 92kj uulize malipo, utaeleweshwa na salary slip utaonyeshwa, ni wakarim mno hujapata kuona.