mwalukuni mchanyato
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 401
- 220
Mama Samia yupo vizuri na yupo sahihi.Hatuna shida hata lingekuwa baraza zima,cha muhimu ni kuwa hao walioteuliwa ni watanzani,wasomi na wanauwezo wa kuyafanya halo majukumu.
Kama sifa wanazo hao masnitch wanaomdis mama waendelee kuumia tu.
Tunambariki mama KAZI IENDELEE.
Kama sifa wanazo hao masnitch wanaomdis mama waendelee kuumia tu.
Tunambariki mama KAZI IENDELEE.