nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Jibu hoja siyo kutoa matusi ni mkoa gani kanda ya ziwa uliotoa angalau hata mawaziri wanne tu ?We mpuusi mbona unaendekeza ukabila? Kwamba watu wa pwani si watu? Kipindi cha mwendazake ulizungumza kuhusu usukuma? Kutawala Baraza la mawaziri?