Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Hiyo regional representation ni ipi? Umehesabu kila mkoa wapo wangapi? Tukikimbilia regional representation tunaweza kukosa watu sahihi tukaishia kupata mabumunda.

Ningefarijika kuona ukisema labda flani hafai kwa sababu hizi na hizi badala ya kusema regional representation.
Hao wenyewe mabumunda unataka mabumunda yepi zaidi.
 
Umechukua buku 7 yako jana?
Hata siko kwenye chama 😆😆 ,mimi ni staff wa serikali kwenye taasisi z tuu.

Natoa Maoni yangu.Narudia kuuliza, mawaziri ni wawakilishi wa mikoa?

Mbona mkoa niliko hakuna cha Naibu wala Waziri na mambo yanaenda,wewe unataka kusema nini hasa?
 
Hata siko kwenye chama 😆😆 ,mimi ni staff wa serikali kwenye taasisi z tuu.

Natoa Maoni yangu.Narudia kuuliza, mawaziri ni wawakilishi wa mikoa?

Mbona mkoa niliko hakuna cha Naibu wala Waziri na mambo yanaenda,wewe unataka kusema nini hasa?
Wewe hujui siasa na maswala ya kiutawala. Unabwabwaja tu.
Basi aweke mawaziri wote kutoka mkoa mmoja au kanda moja tu, uone moto wake. Au hata aweke 70% dini yake, uone moto wake.
Hiyo falsafa unayosema wewe haipo kwenye dunia hii.
Na kama wewe ni mtumishi wa umma, lazima unajua mambo ya impartiality.
Unapokuwa partial katika uongozi unategemea nini?
 
Wewe hujui siasa na maswala ya kiutawala. Unabwabwaja tu.
Basi aweke mawaziri wote kutoka mkoa mmoja au kanda moja tu, uone moto wake. Au hata aweke 70% dini yake, uone moto wake.
Hiyo falsafa unayosema wewe haipo kwenye dunia hii.
Na kama wewe ni mtumishi wa umma, lazima unajua mambo ya impartiality.
Unapokuwa partial katika uongozi unategemea nini?
Hata wangetoka wote Pwani. La muhimu Ni Watanzania. In fact hawakuongezei lolote kwenye maisha yako binafsi hapo Buza
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Hivi Beatrice Kamugisha. Sisi mkoa wa Mara ndiyo hatuna wabunge ?!.

Chief Hangaya Mungu anakuona
 
Katiba mbovu sana. Kama Kenya Rais anateua mawazili kwa kubalance Kanda na jinsi ipo kwenye Katiba. Hiyo ndio picha halisi ya utaifa kuwakilishwa. Sasa huyu mama yeye anaangalia 2025.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Acha ujinga basi, kwani usitafute balance ya baraza Zima? Halafu haiwezekani kutafuta balance kwa kila Kanda.
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Kitaalam hii inaitwa kurudisha mpira kwa kipa
 
Hebu tupe idadi ya kanda ya ziwa
Kanda ya kaskazini.
Kanda ya nyanda za juu kusini...

Hizi siasa za kifala, watoto wetu watakuja kutudharau sana
Samurai- san, Ohayōgozaimasu, Konnichiwa!

Sio siasa za kifala!
Upuuzi wa kundi, CABAL, na dependants, descendants wao WAHODHI utawala ndio fasheni iliyopo hapa TZ, UGANDA na KENYA pia! Tutadharaulika zaidi tukifumbia macho sisa mbofu mbofu aina hii. Kule Kenya RUTO kawaambia, muongo huu ulnaoishia karibuni iwe mwisho. Nchi zetu hizi ni zetu sote. Watu wazima na akili zao na misifa kibao ya kimataifa bado ambition ni familia nzima kutawala anzia Babu na kuendelea. Kwani mnafikiri Nyerere (RIP baba) alikua mjinga yeye? Nani anabisha kwamba familia mbili (sitaji) na wapambe wao ndio wanafanya kufuru hii sasa? Shame!

Domo arigato gozaimasu!
 
Hakuna palipo andikwa ulazima wa kila mkoa kutoa waziri.

Mwacheni mkuu wa nchi afanye anavyo jisikia maana tukisema tunahitaji katiba mpya mnaanza kumbwela mbweela

Mmawia, sijuagi umri wako ila nahisi huwa dish lako linacheza sanaaaa, mana nakuona chenga sana
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Itakuwa population yao ni kubwa na wanawawasomi wengi , hivyo wana ratio nzuri ya population na wasio vs watu
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
kwa kweli hata mm sielewi kwamba nafasi ya Lukuvi inaweza zibwa na Ridhiwani?ni kituko cha dunia hata pia kweli Jenista anaweza kuimudu wizara ya utumishi.sana sana hapo badiliko la maana ni Elimu ijapokuwa pia kumtoa Mkenda ni technical mistake.wizara ya afya sawa ummy anauzoefu nayo sina mashaka sana pia kumwacha Kitila ni sawa sawa sababu hakuwa na tija lkn pia Bashungwa kwangu naona pia ni mzigo hawezi kuihimili hiyo wizara hata wizara aliyotoka sikuona mchango wake.kwa mantiki hiyo wizara ya utumishi na ardhi kwa kweli tumeharibiwa.ardhi ina changamoto nyingi sana na inahitaji mtu makini sana kuimudu na si wizara ya kuifanyia majaribio.ktk nchi hii migogoro ya ardhi ni changamoto kubwa.kila kona ni kilio kilio na haikupaswa kujariribiwa kwa kupewa mtu laini laini kama ridhiwani pia utumishi,tamisemi kuna matatizo mengi sana na wanatakiwa watu makini kuziongoza wizara hizo.
 
Back
Top Bottom