Misaada inayotolewa na Ulaya inapaswa kugawanywa 'pasu kwa pasu' baina ya nchi mbili zilizo katika Muungano

Serikali ya Tanzania imepata msaada wa Euro Milioni 425 (Tsh. Trilioni 1.15) kutoka Kamishineni ya Umoja wa Ulaya (EC) kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo, Rais wa Kamisheni hiyo ametangaza kiasi hicho cha msaada baada ya kukutana na Rais Samia ambaye yuko ziarani nchini Ubelgiji.


Zanzibar na Tanganyika zinaunda Tanzania.....pasu kwa pasu ndio mpango..Meli pasu kwa pasu, Ndege pasu kwa pasu, pesa za sherehe za muumgano pasu kwa pasu, kuna uke mkopo flani hapo nyuma Zanibar ilipewa bilioni 250 tu kati ya 700 hivi, hii haikuwa sawa, sasa tunaenda kuweka mambo sawa kwa hii trilioni kupigwa pasu kwa pasu.

Spika bora kuwahi kutokea Tanzania Spika Tulia, ambae bado ni kijana mwenye nguvu na mwenye akili ya kufanya critical thinking tuma hakika ni mzalendo, hana ukafi, hili litapita tu vizuri kabisa 😋😋😋

Mtu anaekosoa muungano anamkosoa baba wa taifa Nyerere, chunga sana kinachotoka kwenye mdomo wako.

Muungano utakindwa
Muungano una nchi moja tu, ambayo ni Zanzibar.
Watanganyika hawaitaki nchi yao!
Kinachofanyika sasa ni nchi isiyotambulika kuikalia kamabavu na kuidumaza Zanzibar!!
 
Hata kama ni nchi mbili zilizoungana ni vyema mgao ukazingatia idadi ya watu na umuhimu wa miradi.

On top of that kila mtu alipe accordingly.

Kiasi ulichochukua ndio unapaswa kukirejesha.

Otherwise hii trend ya kupeleka tu mahela huko its quite unfair to Tanganyikan's.
Hoja ya kuangalia idadi ya watu ni muflis.

Hizi ni nchi 2 basi zigawane pasu kwa pasu
 
Hoja ya kuangalia idadi ya watu ni muflis.

Hizi ni nchi 2 basi zigawane pasu kwa pasu
Hoja yako ndio mufisi kwani huwezi linganisha mahitaji ya watu milioni 59 na milioni moja.

Kwa akili za kawaida tu hakuna ulinganifu.

Watanganyika wanafanyiwa Dhuluma.

Unless iwe mzanzibari mmoja ni sawa na wabara 59 jambo ambalo ni dalili za wazi kabisa za kibaguzi.
 
Serikali ya Tanzania imepata msaada wa Euro Milioni 425 (Tsh. Trilioni 1.15) kutoka Kamishineni ya Umoja wa Ulaya (EC) kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo, Rais wa Kamisheni hiyo ametangaza kiasi hicho cha msaada baada ya kukutana na Rais Samia ambaye yuko ziarani nchini Ubelgiji.


Zanzibar na Tanganyika zinaunda Tanzania.....pasu kwa pasu ndio mpango..Meli pasu kwa pasu, Ndege pasu kwa pasu, pesa za sherehe za muumgano pasu kwa pasu, kuna uke mkopo flani hapo nyuma Zanibar ilipewa bilioni 250 tu kati ya 700 hivi, hii haikuwa sawa, sasa tunaenda kuweka mambo sawa kwa hii trilioni kupigwa pasu kwa pasu.

Spika bora kuwahi kutokea Tanzania Spika Tulia, ambae bado ni kijana mwenye nguvu na mwenye akili ya kufanya critical thinking tuma hakika ni mzalendo, hana ukafi, hili litapita tu vizuri kabisa 😋😋😋

Mtu anaekosoa muungano anamkosoa baba wa taifa Nyerere, chunga sana kinachotoka kwenye mdomo wako.

Muungano utakindwa
Ujinga gani huu wa tanganyika yenye watu milioni 60 kugawana chochote sawa na znz yenye watu mil 1.4.
Kwanza hii mentality ya kijinga kusujudu mikopo inayopewa jina la misaada anarudisha samia. Halafu tutapewa na ubeberu ugonjwa wa kujinga kugombea misaada halafu tutaleta mdudu mbaya kwenye muungano wetu.
Watu wa znz hawafiki hata asikimia 2 ya raia wa tanzania kwa hivyo tushirikiane tuwache kugombanishwa kijinga.
La msingi bara iliyo kubwa kuichukulia znz iliyo sawa au ndogo na mikoa yake na kuweka fungu la maendeleo pale ikilazimu. Hata hivyo znz ina potential kiuchumi kubwa.
 
Ujinga gani huu wa tanganyika yenye watu milioni 60 kugawana chochote sawa na znz yenye watu mil 1.4.
Kwanza hii mentality ya kijinga kusujudu mikopo inayopewa jina la misaada anarudisha samia. Halafu tutapewa na ubeberu ugonjwa wa kujinga kugombea misaada halafu tutaleta mdudu mbaya kwenye muungano wetu.
Watu wa znz hawafiki hata asikimia 2 ya raia wa tanzania kwa hivyo tushirikiane tuwache kugombanishwa kijinga.
La msingi bara iliyo kubwa kuichukulia znz iliyo sawa au ndogo na mikoa yake na kuweka fungu la maendeleo pale ikilazimu. Hata hivyo znz ina potential kiuchumi kubwa.

Tatizo hamkuvamia mkoa wala wilaya ,mlivamia nchi yenye Bunge, Mfalme , Waziri Mkuu Na serikali yake
 
Hoja yako ndio mufisi kwani huwezi linganisha mahitaji ya watu milioni 59 na milioni moja.

Kwa akili za kawaida tu hakuna ulinganifu.

Watanganyika wanafanyiwa Dhuluma.

Unless iwe mzanzibari mmoja ni sawa na wabara 59 jambo ambalo ni dalili za wazi kabisa za kibaguzi.

Kwani mlipovamia Mlisahau Kuwa mnavamia Nchi. Baba yenu Laanatullahi Nyerere kawalisha matango pori, huku akiwaingiza mkenge , matokeo yake baada kudhulumu roho Za watu kwa miaka Na kumwaga damu, Na kuiba Leo karma imeanza kuwatafuna
 
Kwani mlipovamia Mlisahau Kuwa mnavamia Nchi. Baba yenu Laanatullahi Nyerere kawalisha matango pori, huku akiwaingiza mkenge , matokeo yake baada kudhulumu roho Za watu kwa miaka Na kumwaga damu, Na kuiba Leo karma imeanza kuwatafuna
Irrelevant.

Get to the point.
 
Kokote wakalime mchicha kwa wingi tupate kusafirisha , Airport ipo inaoza
Mchicha Arusha bado inatesheleza soko la ndani na nje. Cha msingi huu mmea uingie kwenye kundi la mimea inayosafirishwa kupitia SPS requirements.
 
Mchicha Arusha bado inatesheleza soko la ndani na nje. Cha msingi huu mmea uingie kwenye kundi la mimea inayosafirishwa kupitia SPS requirements.
Ziada ndiyo inahitajika pia, Ikiwa wakulima unataka wapelekwe ZNZ , huko Hakuna eneo la kulima. Waende wakawe Mawe Chato
 
Back
Top Bottom