Misaada inayotolewa na Ulaya inapaswa kugawanywa 'pasu kwa pasu' baina ya nchi mbili zilizo katika Muungano

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,028
JJJUU.jpg
Serikali ya Tanzania imepata msaada wa Euro Milioni 425 (Tsh. Trilioni 1.15) kutoka Kamishineni ya Umoja wa Ulaya (EC) kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo, Rais wa Kamisheni hiyo ametangaza kiasi hicho cha msaada baada ya kukutana na Rais Samia ambaye yuko ziarani nchini Ubelgiji.


Zanzibar na Tanganyika zinaunda Tanzania.....pasu kwa pasu ndio mpango..Meli pasu kwa pasu, Ndege pasu kwa pasu, pesa za sherehe za muumgano pasu kwa pasu, kuna uke mkopo flani hapo nyuma Zanibar ilipewa bilioni 250 tu kati ya 700 hivi, hii haikuwa sawa, sasa tunaenda kuweka mambo sawa kwa hii trilioni kupigwa pasu kwa pasu.

Spika bora kuwahi kutokea Tanzania Spika Tulia, ambae bado ni kijana mwenye nguvu na mwenye akili ya kufanya critical thinking tuma hakika ni mzalendo, hana ukafi, hili litapita tu vizuri kabisa 😋😋😋

Mtu anaekosoa muungano anamkosoa baba wa taifa Nyerere, chunga sana kinachotoka kwenye mdomo wako.

Muungano utakindwa
 
Hilo halina tatizo kimbembe kwenye kulipa.
Zanzibar ataweza?
Ni mkopo wa miradi mkuu, miradi!!

kama Bakhresa mzanzibari amejimegea ma ekari laki kadhaa bagamoyo kwenye mradi wa sukari nadhani hata serikali ya zanzibar kupitia mashirika yake kadha yanaweza kukopwa fedha kadhaa kuja kuwekeza Tanganyika, Tanganyika kuna ardhi kubwa sana, shirika la zanzibar linaweza kuwekeza kwa kujimegea hata heka laki kadhaa kufanya mradi wa kilimo, kuhusu vibarua wala hakuna haja ya kuumiza vichwa maana watanganyika kwa linaopokuja swala la kulima ni kama utamaduni tena hata hawaitaji malipo ya juu sana.
 
Raisi aliye onesha sura yake wakati wa makubaliano ikulu yake ipo hapo Dar. Kwenye kulipa watalipa ambao ikulu ya huyo raisi imejengwa ktk ardhi yao. Kataa kubali ukweli ndio huo.
Kusema tu "ukweli ndio huo" ndio unakuwa ukweli?

Nilitegemea labda unitajie vipengele vinasemaje kuhusu mkopo wa muungano na namna ya kuurudisha.

Toa facts sio maneno matupu, hoja dhaifu kama hizi inatakiwa uwaammbie watoto tena wa kindergattern.
 
Ni mkopo wa miradi mkuu, miradi!!

kama Bakhresa mzanzibari amejimegea ma ekari laki kadhaa bagamoyo kwenye mradi wa sukari nadhani hata serikali ya zanzibar kupitia mashirika yake kadha yanaweza kukopwa fedha kadhaa kuja kuwekeza Tanganyika, Tanganyika kuna ardhi kubwa sana, shirika la zanzibar linaweza kuwekeza kwa kujimegea hata heka laki kadhaa kufanya mradi wa kilimo, kuhusu vibarua wala hakuna haja ya kuumiza vichwa maana watanganyika kwa linaopokuja swala la kulima ni kama utamaduni tena hata hawaitaji malipo ya juu sana.
Mkopo wa mradi upi?
 
Hata kama ni nchi mbili zilizoungana ni vyema mgao ukazingatia idadi ya watu na umuhimu wa miradi.

On top of that kila mtu alipe accordingly.

Kiasi ulichochukua ndio unapaswa kukirejesha.

Otherwise hii trend ya kupeleka tu mahela huko its quite unfair to Tanganyikan's.
 
Kusema tu "ukweli ndio huo" ndio unakuwa ukweli?
Nilitegemea labda unitajie vipengele vinasemaje kuhusu mkopo wa muungano na namna ya kuurudisha.
Toa facts sio maneno matupu, hoja dhaifu kama hizi inatakiwa uwaammbie watoto tena wa kindergattern.
Hadi sasa matokeo ni
Wewe-1 vs mimi- 0
Nitarudi
 
Back
Top Bottom