Misaada inayotolewa na Ulaya inapaswa kugawanywa 'pasu kwa pasu' baina ya nchi mbili zilizo katika Muungano

Singapore inaingia vipi kwenye muungano wa tanganyika na zanzibar
Singapore ni nchi ndogo kuzidi hata Zanzibar lakini ina maendeleo makubwa mara mia kidogo kuzidi Tanzania.

Zanzibar inabidi iwe na malengo ya kuwa singapore ya Africa na ni suala la kupata stahiki yake katika misaada inayopewa Tanzania nayo iwe inapewa nusu

View attachment 2123891
 
View attachment 2123875

Ndivyo inavyotakiwa.

Kuna fununu Ndugai alikuwa anachukia anapoona misaada na mikopo asilimia kama 300 inaenda Zanzibar, ule ulikuwa ni mwanzo tu, kwa sasa inabidi mambo yawe pasu kwa pasu, naamini spika mpya atatii na kumhshimu Rais ambaye yupo kwa maslahi ya Tanzania.

N i mwendo wa pasu kwa pasu kuanzia sasa.

kuna msaada wa trilioni 1.15, hizo zipigwe pasu kwa pasu nazo.
Nadhani haina shida hii kwani ni nchi mbili huru zilizoungana. Changamoto inakuja pale ambapo upande mmoja wa muungano (Tanganyika) unabebeshwa mzigo wa kulipa 'misaada' ambayo huitwa mikopo yenye masharti nafuu na mikopo na huku upande wa pili (Zanzibar) hauwajibiki/ haulipi. Hakuna fairness hapo!!! Tumekopa, tulipe sote, si vinginevyo.
 
Huu muungano umekuwa ni km laana kwa watanganyika kwa jinsi wanavyonyonywa na kisiwa kisiwa chenye ukubwa kama kata ya magomeni
Watanganyika ni kondoo sana kwa kuendelea kukubali huu uongo unaoitwa muungano
Hili jeshi lenu la uvamizi,mlilolimwaga kila mtaa huku Zanzibar mtaliondosha Lini?
 
Nadhani haina shida hii kwani ni nchi mbili huru zilizoungana. Changamoto inakuja pale ambapo upande mmoja wa muungano (Tanganyika) unabebeshwa mzigo wa kulipa 'misaada' ambayo huitwa mikopo yenye masharti nafuu na mikopo na huku upande wa pili (Zanzibar) hauwajibiki/ haulipi. Hakuna fairness hapo!!! Tumekopa, tulipe sote, si vinginevyo.

Kwani nani aliwaambia muivamie Zanzibar Na Nani aliwaambia muizuie isifunguwe Bank kuu yake wakati ilpovunjika EAC . Na zile pesa Za Zanzibar Za mgao Wake kwa nini mkazichukuwa nynyi wavamizi ? Wacha karma iwatafune
 

Kwenye kulipa mikopo pia tulipe kwa uwiano sawa na Nadhani

Ni mkopo wa miradi mkuu, miradi!!

kama Bakhresa mzanzibari amejimegea ma ekari laki kadhaa bagamoyo kwenye mradi wa sukari nadhani hata serikali ya zanzibar kupitia mashirika yake kadha yanaweza kukopwa fedha kadhaa kuja kuwekeza Tanganyika, Tanganyika kuna ardhi kubwa sana, shirika la zanzibar linaweza kuwekeza kwa kujimegea hata heka laki kadhaa kufanya mradi wa kilimo, kuhusu vibarua wala hakuna haja ya kuumiza vichwa maana watanganyika kwa linaopokuja swala la kulima ni kama utamaduni tena hata hawaitaji malipo ya juu sana.
Hakuna chochote kwenye huo mradi wa sukari!! Ubabaishaji mwingi. Hivi kile kiwanda chenu cha mahonda kimefikia wapi? Kimeshakata roho?
 
Kama mnataka pasu KWa pasu ya pesa ,basi na Mambo mengine twende pasu KWa pasu

Mfano,ardhi na fulsa zingine twende pasu KWa pasu, vinginevyo KILA mtu akae kivyake, TANGANYIKA imekua koloni la Zanzimbar

Koloni kwani Zanzibar Ina jeshi lake la kivamizi huko Tanganyika??
 
Kwani nani aliwaambia muivamie Zanzibar Na Nani aliwaambia muizuie isifunguwe Bank kuu yake wakati ilpovunjika EAC . Na zile pesa Za Zanzibar Za mgao Wake kwa nini mkazichukuwa nynyi wavamizi ? Wacha karma iwatafune
Pesa za mgao wa EAC Board kila nchi ilipewa zake, bila shaka hayati Karume (mzee...mungu amrehemu) anajua za Zanzibar zilipo.
 
na ulipaji uwe pasu kwa pasu, na pia wa bara turuhusiwe kumiliki ardhi zanzibar
 
Kwani nani aliwaambia muivamie Zanzibar Na Nani aliwaambia muizuie isifunguwe Bank kuu yake wakati ilpovunjika EAC . Na zile pesa Za Zanzibar Za mgao Wake kwa nini mkazichukuwa nynyi wavamizi ? Wacha karma iwatafune
Pathetic....ndio maana hamlipi? Sasa naelewa kwanini mnangangania sana tukaombe misaada hata ambayo si lazima!....mmmh!
 
Ni mkopo wa miradi mkuu, miradi!!

kama Bakhresa mzanzibari amejimegea ma ekari laki kadhaa bagamoyo kwenye mradi wa sukari nadhani hata serikali ya zanzibar kupitia mashirika yake kadha yanaweza kukopwa fedha kadhaa kuja kuwekeza Tanganyika, Tanganyika kuna ardhi kubwa sana, shirika la zanzibar linaweza kuwekeza kwa kujimegea hata heka laki kadhaa kufanya mradi wa kilimo, kuhusu vibarua wala hakuna haja ya kuumiza vichwa maana watanganyika kwa linaopokuja swala la kulima ni kama utamaduni tena hata hawaitaji malipo ya juu sana.
Ardhi tayari wanayo huku bara, walipewa na mwl Nyerere kule Bagamoyo (ZEBA) ingawaje matapeli walishafanya yao na wananchi wakavamia lile ENEO mpaka sasa hamna kitu
 
Pathetic....ndio maana hamlipi? Sasa naelewa kwanini mnangangania sana tukaombe misaada hata ambayo si lazima!....mmmh!

 
Ardhi tayari wanayo huku bara, walipewa na mwl Nyerere kule Bagamoyo (ZEBA) ingawaje matapeli walishafanya yao na wananchi wakavamia lile ENEO mpaka sasa hamna kitu

CCM kampa tapeli mwenzake CCM
 
Serikali ya Tanzania imepata msaada wa Euro Milioni 425 (Tsh. Trilioni 1.15) kutoka Kamishineni ya Umoja wa Ulaya (EC) kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo, Rais wa Kamisheni hiyo ametangaza kiasi hicho cha msaada baada ya kukutana na Rais Samia ambaye yuko ziarani nchini Ubelgiji.


Zanzibar na Tanganyika zinaunda Tanzania.....pasu kwa pasu ndio mpango..Meli pasu kwa pasu, Ndege pasu kwa pasu, pesa za sherehe za muumgano pasu kwa pasu, kuna uke mkopo flani hapo nyuma Zanibar ilipewa bilioni 250 tu kati ya 700 hivi, hii haikuwa sawa, sasa tunaenda kuweka mambo sawa kwa hii trilioni kupigwa pasu kwa pasu.

Spika bora kuwahi kutokea Tanzania Spika Tulia, ambae bado ni kijana mwenye nguvu na mwenye akili ya kufanya critical thinking tuma hakika ni mzalendo, hana ukafi, hili litapita tu vizuri kabisa 😋😋😋

Mtu anaekosoa muungano anamkosoa baba wa taifa Nyerere, chunga sana kinachotoka kwenye mdomo wako.

Muungano utakindwa
sky soldier anawachokoza watu humu jukwaani.
 
Hivi ukisema kugawana pasu kwa pasu una maanisha Nini? Mimi nadhani unachukua hizo 1.15 T unagawa kwa idadi ya wa tz milioni 60. Jawabu utakalopata unazidisha kwa idadi ya wazanzibari jibu utakalopata hiyo ndo stahiki ya Zanzibar. Kisha kiasi hicho Pamoja na riba yake wanalipa wenyewe!
 
Back
Top Bottom