Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,913
- 67,435
Ndoa imejaa ubinafsiKwanini mkuu?
Mwanamke ukimuoa leo ata awe na kazi kwako ana kuja kama mtoto umlee mpaka uzeeni hana huruma juu ya maangaiko yako na hana heshima na pesa unayo mpa atakama una pambana hakuna siku mwanamke ata kwambia hongera au pole zaidi kila siku ata kupa malalamiko