Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

Wenzake walitangaza kwa hali ngumu iliyokuwepo na wakafanikiwa now wako bbc, voa, na kungineko,, kikeke, chaz hilari, nk. Yeye alioa wake kadhaa, angetoka kweli utaendaje ulaya na wake wote hao?

kwa wake wanne hata aljazeera hawampokei
 
Makosa yapo chief moja ni signature pale kakosea sanaaaa!! Kama mwandishi wa habari kachemka

Elimu ni form six zero mbaya....kafuta sana inashindikana wake wengi...sasa wenzake ni wakuu wa vijitengo kisa elimu.yeye no ni net pay tuuuu.
 
Mzee sijui waandishi wetu wanamuogopa kusema ukweli wake ,haingii akilin miaka nenda rudi unapiga part time huku ukiwa unauza sura hata na hivo kitenge amevumilia sana aisee

Nadhan anaogopa kuwa sadakaa labda tehhhh
kitenge kumbe kumbe ana wake wanne... Duhh ht angelipwa milion 5 kwa mwez kwa wake wanne na mji huu maisha lazma yawe magumu
kitenge. Mke mmoja anatosha.. Ndo maana penis iko moja
 
hana tofauti na aliekimbia bila taarifa. muajiri atapata wapi replacement ndani ya muda mfupi hivo? ukiangalia kwa upande wa pili (upande wa mwajiri) si uungwana. tena kwa mtu uliefanya nae kazi miaka yote hiyo ghafla tu unatoa taarifa za kuacha kazi!!!!?

Watu wakiambiwa baba wa wawil ni majanga mnabisha na mbado watazidi kuikimbia ipp na mshahara wao kiduchu huku wakiingiza ma milion
 
Hiyo barua yake haiko kwenye miundo rasimi ya uandishi wa barua za kiofisi kachanganya changanya sana yaani ameniangusha sana. Tarehe inaweza kuwa upande huo kwa muundo tofauti na huo aliotumia.

Kinachosikitisha anasema ameamua kuacha kazi eti maisha yamekuwa magumu, na hasemi ni wapi anakokwenda ambako maisha yatakuwa mapesi.

Kimsingi ukiamua kusema sababu za kuacha kazi unapaswa kusema pia unakwenda kufanya nini kinyume na hapo utakuwa umeharibu!

uandishi wake wa barua hauna tofauti na Pasco mate wake wa TSJ, hiko chuo walishindwa hata kumualika Asha Mtwangi awafundishe kuandika barua wanafunzi wake.
 
Last edited by a moderator:
Mengi anapenda sifa lakini analipa mshahara mdogo sana staff wake halafu mikataba ya kazi inatoka kwa kujuana nimefanya kazi IPP kwa muda nikashindwa
wacha Kitenge atafute maslahi mazuri

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mishahara kiduchu halafu utasikia ametua milion 200 kwenye mahafali ya MASAI GIRL maajabu
 
Hiyo barua yake haiko kwenye miundo rasimi ya uandishi wa barua za kiofisi kachanganya changanya sana yaani ameniangusha sana. Tarehe inaweza kuwa upande huo kwa muundo tofauti na huo aliotumia.

Kinachosikitisha anasema ameamua kuacha kazi eti maisha yamekuwa magumu, na hasemi ni wapi anakokwenda ambako maisha yatakuwa mapesi.

Kimsingi ukiamua kusema sababu za kuacha kazi unapaswa kusema pia unakwenda kufanya nini kinyume na hapo utakuwa umeharibu!

uandishi wake wa barua hauna tofauti na Pasco mate wake wa TSJ, hiko chuo walishindwa hata kumualika Asha Mtwangi awafundishe kuandika barua wanafunzi wake.
 
Last edited by a moderator:
kazi ni mbaya ukiwa nayo aisee! mnaosema IPP wanalipa kigodo tajeni wanaolipa mkubwa, evidence muhimu.
 
Safi sana! Lazima uchukue maamuzi magumu. Kuna mtu aliweka post humu ya hatua kama tano hivi za mafanikio. Hatua ya kwanza aliyosema ni 'kuondoka kwenye comfort zone'...

Pia hata hio miaka 14 alokaa hapo imetosha hivo si tu kubadili mwajiri lakini wengine wanabadili kabisa kazi yenyewe.

Hio comfort zone ingekuwa nzuri tu kama ina mshahara mnono na marupurupu mazuri, safari za nje kwenye visemina na uwezo wa kwenda likizo mahala.

Watu wanashindwa kuelewa hii mada inatufundisha nini, ukizingatia wengine wamekimbilia kuangalia tarehe tu.

Kuna somo zuri tu ndani ya hio barua na mwandishi mwenyewe Maulid wa Kitenge.
 
Nimependa uandikaji wa barua, tarehe inawekwa kwenye anuani ya anayepewa barua!!!!!!

Saini nayo ipo chini ya jina, mmmh hii elimu ya siku hizi nayo majanga yaani kuandika barua ya kikazi shidaaaa. Yaani kuanzia darasa la nne mtu unafundishwa jinsi ya kuandika barua mpaka la saba na bado unatoka kapa. Juzi hapa kuna mwanafunzi ameniambia nimsadie kuangalia barua yake ya maombi ya kazi kama ina makosa, nikakuta upande wa kulia juu ndio kaweka anuwani ya anapoomba kazi na kushoto chini ndio kaweka anuwani yake. Mungu ibariki elimu ya Tanzania
 
Katua EFM
 

Attachments

  • 1408399817824.jpg
    1408399817824.jpg
    34.4 KB · Views: 272
Back
Top Bottom