bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,700
- 4,126
Miaka 14, amepata mashavu mengi ya kwenda nje, nafasi hio hio imempatia cv, nafasi hiyo hiyo imempa mshahara, nafasi hio hio imemfanya akawa Maulid kitenge. Eti leo unataka kuondoka unamkejeli mwajiri? Kama mshahara ulikuwa mdogo kwanini hakuondoka mapema? Ndiyo maana waajiri wengi wanapenda wageni
Ila Mkuu umenena sana!!