Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

Miaka 14, amepata mashavu mengi ya kwenda nje, nafasi hio hio imempatia cv, nafasi hiyo hiyo imempa mshahara, nafasi hio hio imemfanya akawa Maulid kitenge. Eti leo unataka kuondoka unamkejeli mwajiri? Kama mshahara ulikuwa mdogo kwanini hakuondoka mapema? Ndiyo maana waajiri wengi wanapenda wageni

Ila Mkuu umenena sana!!
 
Kiswahili sahihi ni kuacha kazi. Kama angekuwa mkuu wa idara fulani na akaiacha hiyo nafasi ya ukuu wa idara akaendelea kuwepo pale katika cheo chake cha kuajiriwa ndo tungesema amejiuzulu

Kiswahili kinahitaji kukopa maneno tuache ujuwaji hiyo barua angeandika heading kwa kingereza usingeona kasoro.
 
Watanzania hakuna culture ya ku change jobs Hiyo ni AJABU Sana ..mtu anafanya sehemu Moja hadi anastaafu...wenzetu wanaamini kwenye building of carriers and facing new challanges ....mtu anaweza ku change jobs not just for money ..but just because he wants new stuff ..
Sasa hapa hadi ujielezee sijui pesa ndogo sijui nini ...while you had all the Time to quit job Kama mzigo mdogo au ku discuss na Mwajiri wako ...sio vizuri kufanya kazi kwa kuwa tu huna pa kwenda ..ufanisi unakuwa mdogo.....
Watu wengi Tanzania hawaridhiki na kazi Zao na wanafanya tu kwa kuwa hawana jinsi kwa kutegemea ujanja ujanja ......
Hali inaweza kubadilika Kama kuanzia serikalini hadi sekta Binafsi tutakuwa na wafanyakazi wachache wanaohitajika ...watakaofanya kazi nyingi ...lakini watakaolipwa MALIPO ya kuwatosha kuishi bila kona kona.......kampuni zinazofanya Hivyo kuwa more productive
 
Watanzania hakuna culture ya ku change jobs Hiyo ni AJABU Sana ..mtu anafanya sehemu Moja hadi anastaafu...wenzetu wanaamini kwenye building of carriers and facing new challanges ....mtu anaweza ku change jobs not just for money ..but just because he wants new stuff ..
Sasa hapa hadi ujielezee sijui pesa ndogo sijui nini ...while you had all the Time to quit job Kama mzigo mdogo au ku discuss na Mwajiri wako ...sio vizuri kufanya kazi kwa kuwa tu huna pa kwenda ..ufanisi unakuwa mdogo.....
Watu wengi Tanzania hawaridhiki na kazi Zao na wanafanya tu kwa kuwa hawana jinsi kwa kutegemea ujanja ujanja ......
Hali inaweza kubadilika Kama kuanzia serikalini hadi sekta Binafsi tutakuwa na wafanyakazi wachache wanaohitajika ...watakaofanya kazi nyingi ...lakini watakaolipwa MALIPO ya kuwatosha kuishi bila kona kona.......kampuni zinazofanya Hivyo kuwa more productive
One of my brother amefanya kazi TRA kama senior officer na mshahara mzuri lakini akaacha kazi akapata kazi PPF na sasa ameacha kazi PPF yupo UN wabongo wanadai jamaa ni shushushu kisa wao wamezoea wizi na hawaamini kama kuna binadamu anaweza kuacha kazi TRA na PPF.
 
weee huyu ana wake wengi lakini michepuko anayo pia
nilikutana nae Cocobeach yaani..... . ..

Hao wake wengi anatumia tu kama kivuli kama mke mmoja alimshindwa akaoa wa tatu hiyo michepuko si itakuwa buku.
 
Kwa kutumia staha, mfanyakazi anaweza kushauriwa kuresign ili kumfichia aibu!!

Jamani ilikuwaje hiyo barua ikawa hadharani? Kama kuna mtu radio one kafanya huo upuuzi. Inabidi wajiangalie mara mbili mbili. Siri za wafanyakazi zitakuwa zinavuja ambavyo sio sahihi kabisa
 
Na wewe mwenyewe huna taaluma ya kuandika ..uhandisi ni kitu gani? Uandishi ndio lugha sahihi

Duh mkanganyiko iv sahihi ua uhandisi ni uandisi?? Uhandishi uandishi!! Jf is never & will never be boring for sure

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kiswahili kinahitaji kukopa maneno tuache ujuwaji hiyo barua angeandika heading kwa kingereza usingeona kasoro.
Hakuna ujuaji hapa. Fact ni kwamba heading si sahihi. Kuna nafasi ya kuajiriwa (ajira)na nafasi ya kuteuliwa. Watu huwa wajiuzulu kwenye nafasi za kuteuliwa. Kumbuka kitenge alikuwa kwenye chombo cha mawasiliano ambacho kinasaidia kukuza kiswahili, sasa kama mkuza kiswahili hajui je mtu wa kawaida kutoka Iselamagazi itakuwaje? Tukimwita ni kanjanja tutakosea?
 
Waandishi wa habari, Watangazaji wa redio na Television, Manesi, Madaktari, Polisi na Walimu, ni watu muhimu sana katika jamii yoyote ile. Lakini hawathaminiwi, hasa hapa nchini wanaishi maisha mabovu sana kuliko hata Machangudoa. Ni wachache sana wanatofauti.
 
Usiombe kufanya kazi katika makampuni mya IPP, mshahara uchukua miezi miwili ndio mnapata, kwa hiyo jamaa kaona mbali sana sana.
 
Ni move nzuri na ukichukulia amefanya kazi hapo miaka 14. Lakini ataonekana shujaa kama atafanya kama Abdallah Majura kwa kufungua kituo chake cha redio na sio kwenda kuajiriwa tena (sana sana na rival wa hapo alipotoka).
By the way, niliwahi kusikia kuwa Kitenge ana wake watatu ...hivyo ni lazima hata mshahara wa 10m huenda usitoshe kulingana na hali ya sasa!
 
Mshahara wa kampun kama IPP hautakiwi kuwa sawa na mtendaj wa kata.
IPP inaingiza faida tena kubwa hivyo maslah ni vyema yawe mazuri.. Tofauti na mtendaj kata ambye kimsingi anafanya kaz ya kutoa huduma ambyo ndyo lengo la msingi la utumishi wa umma.....

na ndyo mana mashirika ya umma yanayojitegemea wana maslahi mazuri kulinganisha na taasisi za kawaida za serikali ikiwemo serikali za mitaa.. Mfn. MHASIBU wa TANESCO mshahara wake ni mkubwa kuliko mhasibu wa halmshauri ya wilaya.. Kwa sabababu TANESCO inatengeneza faida...

Hivyo ht mshahara wa mtangazaji wa ITV ulitakiwa huendane na faida inayopata IPP.. mbona hatusikii wafanyakaz wa makamun mengine ya habari kama CLOUDS au azam wakilalamika salary ndogo...

bila.shaka IPP kutakuwa na tatzo
 
Ntamiss kwakweli.... Kitenge na Katanga... Na jezi number 9 mgongoni. Maswali yake akifanyia -interview kwene kipindi chao cha michezo yananiacha hoi... Katanga atabaki na nani sijui..

Na Amri Masare Na Mkongwe Isaac Gamba Nyagabona a.k.a " Sasa Mambo Yote Hadharani ".
 
Back
Top Bottom