Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

Maulidi Kitenge aacha kazi ITV/Radio one

ngoja niisome vizuri.

attachment.php
 
ni uamuzi wake, sioni sisi tunajadili nini hasa!!! alichofanya cha ajabu ni kubandika mtandaoni barua ambayo inatakiwa kuwa siri kati yake na mwajiri!!!! ni tabia ya utoto na ukilaza ambayo inamshushia credibility.
 
Songa mbele mkuu, hali ya maisha imepanda sana chief na hivi vimishahara vyetu vya 3m kwenda chini havisaidii kitu badala yake vinapepesa macho na kutikisa masikio tu.

Tunakutakia mafanikio mema, Striker no 9 kwenye uchu wa kufumania nyavu - tupo pamoja kamanda!!
 
ni uamuzi wake, sioni sisi tunajadili nini hasa!!! alichofanya cha ajabu ni kubandika mtandaoni barua ambayo inatakiwa kuwa siri kati yake na mwajiri!!!! ni tabia ya utoto na ukilaza ambayo inamshushia credibility.
kwa nini awe yeye tu na si mwajiri wake kuibandika humu???
 
Nyinyi ndo mnaishi dunia ya kukariri! kuna sheria ya
uwekaji wa tarehe? ndo maana bongo hakuna maendeleo
nyinyi ndo mmekariri barua za darasa la tano?
hihuhihuhu tarehe hata zikiwekwa mata.koni si inshu
inshu je zitaonekana na msomaji? wengine huweka chini
ya saini kabisa! msiwe limited kishamba jaribuni na
kugoogle

like.like hawaangalii maudhui
binadamu bwana anatazama mapungufu tu
 
hana tofauti na aliekimbia bila taarifa. muajiri atapata wapi replacement ndani ya muda mfupi hivo? ukiangalia kwa upande wa pili (upande wa mwajiri) si uungwana. tena kwa mtu uliefanya nae kazi miaka yote hiyo ghafla tu unatoa taarifa za kuacha kazi!!!!?
Swahiba na wewe upo chama cha waajili? hivi mkifukuzaga watu huwa mnawapa muda wa kupata replacement job?

Mimi enzi za utumwa wa kuajiliwa niliacha kazi effectively same day kutokana na personal reason ila kwa kuwa muajili tuna historia naye fulani aliniita ofisini kwake akaniuliza tatizo hasa ni nini nilimweleza mimi na mtoto wake wa kiume ambae alikuwa acting General Manager hatuelewani kabisa na nilitaka kumpa kichapo ila nilitunza heshima ya chairman wa group of companies.

Basi yule Chairman akamuuru niandikiwe certificante of service nzuri na nilipwe haki zote anazolipwa mtu aliyeachishwa kazi.
 
Umeona mkuu?

Nimeshangaa kama kwa level yake uwezo wake wa kuandika barua ndiyo huo!

kwa mimi ambae sielewi sijaona tatizo kabisa ya hiyo barua
mnaoona ina mapungufu yawekeni wazi
 
kwa nini awe yeye tu na si mwajiri wake kuibandika humu???

sioni motive ya mwajiri wake kubandika barua mtandaoni!! i could be wrong though, labda tumuulize mleta mada kaitoa wapi.
 
Kiswahili sahihi ni kuacha kazi. Kama angekuwa mkuu wa idara fulani na akaiacha hiyo nafasi ya ukuu wa idara akaendelea kuwepo pale katika cheo chake cha kuajiriwa ndo tungesema amejiuzulu
 
Back
Top Bottom