Matukio ya kutengenezwa ya kujiteka

Kama CHADEMA wanataka watu na Jeshi la polisi linashindwa kuwakamata basi tuna Jeshi la hovyo.

Pili, Serikali iombe msaada nje ukweli ujulikane kwa sababu mpaka sasa Jeshi la polisi halijakamata hata mtu mmoja.

Lakini Serikali hii haitaki kuomba msaada nje.

Pia hawa wanaokamatwa na kutekwa wanasema wameshafatwa na polisi na watu wa usalama kwamba waache kuiponda Serikali.

Leo hii jeshi la polisi, na resources zote walizonazo, wamefikia wapi na uchunguzi wa Lissu, Azory, Roma, Ben Saanane?
Hapa hutapata ubishi toka kwangu. Mimi pia ningependa kupata ufumbuzi wa huu uhalifu unaotokea.

Siamini kama serikali ndiyo inayofanya huu uhalifu, watu wanaichukia, lakini wanaendelea kufanya hivyo hivyo.

Na mwisho, sidhani kama suluhu ya haya matatizo ni kuipindua serikali ya Magufuli.

Tusubiri 2020.
 
you dont need him to kill his own people to know he is out of control. kuongoza nchi kunahitaji hekima siyo ubabe na unafiki.
 
Nondo ni mtu mdogo sana kutumika au hata kufikiriwa kutumika na watu wa upinzani katika mkakati kama huo.

Tatizo limetokea, ila kma kawaida yetu huwa tunatanguliza lawama kwa upinzani. It's better Magu na watu wake au wote waliowahi kusemwa moja kwa moja na Nondo, kama Mwigulu, wajichunguze kwani ni ngumu wao kutohusika na upoteaji huu.
 
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.

Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.

Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.

Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
Mzee wa operesheni UKUTA iliyofeli mikakati ya kihuni unaijua sana!
 
Uchaguzi ulifanyika 2015. CCM walishinda. DEAL WITH IT.

Subirini mpaka 2020 mumng'oe Magufuli kupitia boksi la kura.

Kwa sasa mnajidhalilisha kwa kutumia hizi figisu figisu zenu. Tunajua mnachojarjbu kukifanya.
Ataondoka mwenyewe 26
 
Hili linaweza kuwa kweli kuliko watu wanavoyfikiria na pia watu wanaweza kutake advantage ya siasa zetu kukomoana. Mtu anakudai na umemzungusha muda mrefu na wewe unajulikana ni mwanachama wa chama fulani basi anakutumia watu wanakufanyizia halafu tuhuma zinawaenda the infamous "watu wasiojulikana".
Mkuu siku hiz umekuwa mtoto au ndyo kuzeeka enyewe.ndyo nn umeandika
 
Haya ni mawazo ya kutaka kutawala bila ya kuwa na check and control. Upinzani sio kazi yao kuimba mapambio ya kusifia watawala. Kama mnataka CHAMA kimoja ili mtawale milele fanyeni hivyo kwa kupiga
Marufuku kupitiia Bunge.
Kazi mojawapo ya chama chochote cha kisiasa ni kuudhoofisha upinzani wake.

CDM wasisubiri kusaidiwa na CCM. Watakufa wakisubiri hicho. Huu sio utani.

Na ikitokea CDM wamekufa mimi nitakua wa kwanza kucheza jaramba juu ya kaburi lao. Hatuwezi kukaa na vyama vya upinzani dhaifu ili tu tuonekane kuwa TZ ina siasa za ushindani.

Kama CDM wameshindwa siasa wakae pembeni. Kuna wengi wanaosubiri pembezoni.
 
Ni kweli kabisa.

Kama CDM wasingeanzisha yale maandamano ya usiku bila kibali, halafu risasi zilipoanza kurindima viongozi wa juu wakavaa madera na shungi wakakimbia, Akwilina wetu tungekua nae leo.

Ni watu gani hawa?
Lakini kifo tumeandikiwa binadam mkuu kila mtu na siku yake kwa style yake tusikufuru Mungu sana.
 
Uchaguzi ulifanyika 2015. CCM walishinda. DEAL WITH IT.

Subirini mpaka 2020 mumng'oe Magufuli kupitia boksi la kura.

Kwa sasa mnajidhalilisha kwa kutumia hizi figisu figisu zenu. Tunajua mnachojarjbu kukifanya.
Ivi tatzo ni nini?watu wasiongee ukweli jamani kwahyo ccm mna amini wote wanao potea kwakusema ukweli wanajiteka na wengine kujiua? Je nape kutolewa bastola hazalani nae aliandaa watu wake wafanye vile?

Je wapinzani wanajiongelea tuu kuhusu kuminywa kwa vyanzo vya habali?niishie hapo mambo nimengi sana.

Ila hakika nawa ambieni taifa halijengwi kwa ushabiki naunafiki bali uhalisia na upendo.
 
Ujinga ni kwamba taarifa hiyo inakuja baada ya kupatikana kwake.
Tutaaminije
Taarifa ulitaka ije wakati gani? Sababu mleta taarifa alikuwa hajui kama abiria mwenzake ni yule ambaye inasemekana ametekwa,soo taarifa itakuja baada ya kuconferm kuwa huyu anayetafutwa ni alikuwa naye kwenye basi.
 
Watu kutekwa, kuuwawa, kupigwa risasi, n.k. yanaonekana kuwa matukio ya kawaida na ambayo ukomo wake haujulikani utakuwa lini na kwamba, wahusika ni akina nani na wana maana gani!
Najiuliza kwa sauti:
1. Je, ni serikali? Kama ni serikali, inafanya hivyo kwa sababu gani?
2. Je, ni vyama vya upinzani ili nyuma ya mgongo ionekane ni serikali na hivyo kupata ajenda ya kutaka serikali iwajibishwe ndani na nje?
3. Je, ni maadui wetu wa ndani na nje ili kuipaka matope serikali na kupata kiki ya kuihujumu isifikie mafanikio yake ya kiuchumi?
4. Je, ni waathirika wa vita dhidi ya ufisadi, madawa ya kulevya na wapiga dili ili kuipaka matope serikali na kuonesha ulimwengu na wananchi kuwa serikali yao ni ya kifedhuli?
Nashindwa kupata majibu!
 
"Tunahitaji kuikabili Serikali ili iue watu 100 mpaka 200"

Kama kauli hii iliwahi kusemwa ama la, is not a point. However, Serikali yoyote inayoua raia wake wanaokuwa labda wanaandamana kwa amani, ni Serikali ya kidictator.
 
Ivi tatzo ni nini?watu wasiongee ukweli jamani kwahyo ccm mna amini wote wanao potea kwakusema ukweli wanajiteka na wengine kujiua? Je nape kutolewa bastola hazalani nae aliandaa watu wake wafanye vile?

Je wapinzani wanajiongelea tuu kuhusu kuminywa kwa vyanzo vya habali?niishie hapo mambo nimengi sana.

Ila hakika nawa ambieni taifa halijengwi kwa ushabiki naunafiki bali uhalisia na upendo.
Kuongea na kuishutumu serikali ni haki ya kila mtanzania.

Lakini kutukana viongozi, kutoa matamshi yanayochochea vurugu na uvunjifu wa amani nchini sio kitu cha kuchekelea.
 
Back
Top Bottom