Wengine tumesoma na kugundua ubunifu wako. Je, umewahi kuona report yoyote ya polisi kuhusu; Roma mkatoliki, Ben saanane, Azory, Mwangosi, TAML na orodha ni ndefu mno! Wewe unataka kuwaambia kuwa haya yote no mkakati wa wapinzani wa rais kutaka kumchafua?Najua waTZ walivyo wavivu kusoma.
We unadhani angepigaje ela!? Tume vinunua mara mbiliMatukio ya kutengeneza:
1.Magufuli kusema vichwa vya treni havina mmiliki kumbe ni vya serikali!
2. Sakata la acacia na makinikia.
3.....
Tena usikute yupo MarekaniWapinzani wana resources gani kufanya haya?serikali ina polisi tiss jwtz wote hawa wasiyaone haya uyaone wewe?
Yaani kama police na vyombo vyetu vya usalama wanashindwa kubainisha hili basi kama nchi tuna matatizo!!Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.
Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.
Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.
Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
Nime-paraphrase kwa sababu sina clip yao bali nakumbuka walichosema.Naona unaparaphrase badala ya kuquote.
CHADEMA ndio walitumia risasi za moto kujitawanya pale mkwajuni? Acheni kumtafuta mchawi wakati mchawi hasa anafahamika.
Subra Sheikh, subra.Lets assume upo sahihi. Kama ni hivyo Serikali q ambayo ndio ina vyombo vya usalama ichunguze na kuwafikisha Mahakamani.Serikali hizi zetu zikipata sababu kama hizo kwa upande wa upinzani itachukua hatua haraka sana.
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.
Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.
Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.
Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
Human memory sucks. Hivyo hayo maneno unadhani yalisemwa lakini huna uhakika. Kwasababu hoja zako zimejengwa kwa maneno ya kudhani na si ukweli, hoja zote ulizoleta haziwezi kukubalika.Nime-paraphrase kwa sababu sina clip yao bali nakumbuka walichosema.
Mimi namuomba tu Jaji Mutungi awasamehe lakini kama atafuata sheria CDM wanapaswa kufunga ofisi zao sasa hivi.
Kwa hiyo ni jukumu la nani kuhakikisha hii taharuki inatoweka kwa wananchi. Kuna siku unatoa hoja nzuri lkn sometime ukiwa kwenye siku zako unatoa mashudu. Umeshindwa kutambua jukumu la kuhakikisha usalama kwa raia ni la nani kabla ya kuposti huu uzi wako?
Haya ni mawazo ya kutaka kutawala bila ya kuwa na check and control. Upinzani sio kazi yao kuimba mapambio ya kusifia watawala. Kama mnataka CHAMA kimoja ili mtawale milele fanyeni hivyo kwa kupigaNime-paraphrase kwa sababu sina clip yao bali nakumbuka walichosema.
Mimi namuomba tu Jaji Mutungi awasamehe lakini kama atafuata sheria CDM wanapaswa kufunga ofisi zao sasa hivi.
Unafiki hauto wasaidieni lolote. Yanini kujipa matumaini yakusema hii nikijani ile hali sikijani ni nyekundu.?Mwanamke mzima kwa nini unanifuatilia hivyo? Huna bwana?
Ni ushahidi tosha kuwa anazifuta siasa za kutafuta umaarufu ambazo si tu ni siasa mfu, ni siasa majitaka.Magufuli amegeuka kokoro la kila lawama ....