Peleka huko propaganda zako za kishamba. Mnataka kuitumbukiza Nchi yetu kwenye matatizo kwa sababu ya njaa zenu za madaraka. Au wewe ndie mtekaji mwenyewe? Acheni kutufanya watanzania hatuna akili kama mlivyo nyinyi! Zero brain kabisa!.Nimepata Taarifa ya mshangao mkubwa jioni ya leo punde tu nilivyowasili nyumbani kwangu Mafinga jioni ya leo baada ya kuona kwenye mitandao ya kijamii na kusikiliza kwenye vyombo vya Habari sasa nakaa natafakari ni aina gani ya vijana tuliokuwa nao
Mapema leo asubuhi muda wa saa 12:00 asubuhi nilipanda gari aina ya NEW FORCE yenye namba ya usajili ya T 226 DJQ nakukaa siti yenye namba G3 ambapo jirani wangu aliyekuwa amejivika shuka la kimasai alikuwa amekaa siti namba G4 ambaye alionekana kuwa na hofu wakati wote na kutumia simu yake kwa kutuma jumbe tofauti kila mara
Wakati tupo njiani kijana yule nilitaka kujenga urafiki walau Tupige hata stori mbili tatu lakini ilishindikana ila tulipofika Morogoro ndipo alianza kunisemesha kwa kuhitaji nimsaidie kununua maji kwa kuwa nilikuwa upande wa dirishani nikafanya hivyo nikiwa na dhamira ya kumsaidia ndipo tulipoanza kupiga stori mbili tatu
Lakini nilisikia tukiwa njiani anawasiliana na mtu mmoja mwenye sauti ya kike na kumtaka aandae mazingira ya hapo wanapokutani.
Wakati wote namuaangalia kijana huyu ambaye awali nilikuwa simfahamu vizuri nilimbaini kwa sura nikamjua na hakutaka kuongea na mimi zaidii ya kujifichaficha
Sasa nimefika nyumbani Naanda kusikiliza radio nasikia kuna kijana wa chuo kikuu cha Dar es Salaam kutekwa nilipoingia Facebook ndo nikaona picha yake nikamwambia mke wangu ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Kuwa kijana huyu nimependa naye basi moja kutoka Dar es Salaam na mke wangu hakuamini
Nipende kuambia ndugu watanzania wenzangu kijana huyu HAJATEKWA WALA NINI MAANA NILIKUWA NAYE MWANZO WA SAFARI YOTE NA KAMA KATEKWA LABDA NI KWENYE NDOTO
HIVYO TAARIFA ZOTE ZA UTEKWAJI WAKE NI ZA KUPUUZWA MAANA ANATAKA KUTAFUTA UMAARUFU WA AJABU KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA MITANDAO YA KIJAMII
*JONATHANA KWEPE*
Hapana Mkuu, nakataa nakataa...awamu hii vitengo wamejazana kila kona , hakuna kitu utafanya serikali isijue....hakuna.Lolote lawezekana aisee.
Na kusema ukweli Magufuli ana maadui kila kona.
Hata ndani ya CCM wapo. CHADEMA ndo wamejaa hadi pomoni.
Hivyo sitashangaa kabisa kama kuna mipango ya hujuma dhidi yake na wahusika wakawa ni kutoka CHADEMA na CCM wakifanya kazi kwa ushirikiano.
Kwa akili hizi wewe sio kijanaKama huyu Kijana ukifwatilia kwa umakini utaona kuna Usanii mkubwa sana
Rai kwa Vijana wenzangu
Kila jambo lina wakati wake
Acheni kujiteka na kutengeneza scenario za kufikirika hapa na chapeni kazi kama Watanzania wenzenu. Wewe umeona au umeokota maiti ngapi mkuu au unaimba tu!Hv kwa hali ilivyo sasa no ajira uchumi mbovu Maisha magumu watu wafukuzwa kazi watu wanauawa hovyo maiti zinaokotwa watu wanapigwa risasi bila hatia hv mtu unaanzaje kumshabikia magufuri au mtoa uzi unaishi magogoni..
You are absolutely right, HUMAN MEMORY SUCKS.Human memory sucks. Hivyo hayo maneno unadhani yalisemwa lakini huna uhakika. Kwasababu hoja zako zimejengwa kwa maneno ya kudhani na si ukweli, hoja zote ulizoleta haziwezi kukubalika.
Swali langu hukujibu mkuu.
Isitoshe, sheria ni msumeno. Kumbe huyo Jaji ana uwezo wa kusamehe tu wavunja sheria kama anavyosamehe CCM kwa makosa kibao wanayofanya kisheria?
Ile trilioni 300 ilishalipwa???Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.
Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.
Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.
Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
Kwa hiyo na Roma alijiteka? Na wale mashehe walijiteka? Peleka huko porojo zako za kishamba! Msidhani watanzania ni wajinga kama nyinyi mlivyo!Serikali isifanyie mzaha hawa watu wanaotafuta kiki kwa kuichafua serikali. Lazima uchunguzi wa ndani ufanyike kujua huyu anadai alitekwa kama maelezo yake ni ya kweli
Tusubiri uchaguzi mkuu wa 2020.you dont need him to kill his own people to know he is out of control. kuongoza nchi kunahitaji hekima siyo ubabe na unafiki.
Huogopi wewe...shauri yakoCCM.Tiss. pombe. bashite.
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.
Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.
Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.
Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
Mbona unajihami, mmeshamteka mtoto wa watu, cjuui kama yupo haiKuna tetesi kuwa Nondo hakupotea bali amejipoteza mwenyewe maksudi.
Sijui ukweli hapa upo wapi kwa sababu hapo nyuma watu walipotea kikweli.
Ninachotaka kukielezea hapa chini ni dhana ya kuwa watu wanafanya maigizo au MIKAKATI ili ulimwengu uione serikali ya Magufuli kwa mtizamo m-baya.
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Kinachofuatia ni dhana ambayo inawezekana haina ukweli wowote. Work with me here:
FEBRUARY 16, 2018
Katika hitimisho la kampeni ya ile chaguzi ndogo ya Kinondoni:
HALIMA MDEE alisema (paraphrase):
Tufanye vurugu kama Libya, Syria au Iraq.
This is significant, nifuatilie.
FREEMAN MBOWE alisema (paraphrase)
Tunahitaji kuikabili serikali mpaka wauwawe watu 100 au 200.
This is also significant.
ANALYSIS
- Kama utakumbuka katika nchi alizozitaja MDEE, watu walikufa kwa mikono ya serikali.
Wakati "mataifa makubwa" walipotaka kuing'oa serikali walisema: He is out of control and HE KILLS HIS OWN PEOPLE.
Huu usemi kuwa "ANAUA WATU WAKE" ndiyo uliokua unasemwa kabla ya uvamizi na kupinduliwa kwa serikali husika na mataifa makubwa.
Alichokisema MBOWE haikua kuteleza kwa ulimi. Nadhani huu ndio mkakati mzima wa upinzani, hasa CDM, kuleta vurugu na kuwashambulia polisi mpaka polisi wawaue watu wengi.
Nadhani "handlers" wao waliwaambia kuwa kama watu 100 au 200 wakiuawa na polisi basi itayafanya mataifa makubwa watoe tamko kuwa:
Magufuli hafai, ANAWAUA WATU WAKE.
He is out of control, he is KILLING HIS OWN PEOPLE.
DHAMIRA
Kwa shinikizo hili la kuwa Magufuli ni kiongozi mbaya na sasa ANAUA RAIA WAKE MWENYEWE itakuwa rahisi kwa Security Council ya Umoja wa mataifa kuingilia kati.
Sote tunajua, kama UN Security Council italeta majeshi ya kuuingilia kati utawala wa Magufuli, ni nani hasa atakaeletwa.
NONDO
Je ni kweli kuwa, kama huu utekaji wa NONDO ni fekero, basi huu ni muendelezo tu wa haka kamchezo kachafu kanakochezwa na upinzani?
Haya uliyoyaandika ni dhahiri sasa hawa wenzetu wanazidi kujipambanua kuwa na muelekeo ovu dhidi yaTaifa hili.Kuna tetesi kuwa Nondo hakupotea bali amejipoteza mwenyewe maksudi.
Sijui ukweli hapa upo wapi kwa sababu hapo nyuma watu walipotea kikweli.
Ninachotaka kukielezea hapa chini ni dhana ya kuwa watu wanafanya maigizo au MIKAKATI ili ulimwengu uione serikali ya Magufuli kwa mtizamo m-baya.
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Kinachofuatia ni dhana ambayo inawezekana haina ukweli wowote. Work with me here:
FEBRUARY 16, 2018
Katika hitimisho la kampeni ya ile chaguzi ndogo ya Kinondoni:
HALIMA MDEE alisema (paraphrase):
Tufanye vurugu kama Libya, Syria au Iraq.
This is significant, nifuatilie.
FREEMAN MBOWE alisema (paraphrase)
Tunahitaji kuikabili serikali mpaka wauwawe watu 100 au 200.
This is also significant.
ANALYSIS
- Kama utakumbuka katika nchi alizozitaja MDEE, watu walikufa kwa mikono ya serikali.
Wakati "mataifa makubwa" walipotaka kuing'oa serikali walisema: He is out of control and HE KILLS HIS OWN PEOPLE.
Huu usemi kuwa "ANAUA WATU WAKE" ndiyo uliokua unasemwa kabla ya uvamizi na kupinduliwa kwa serikali husika na mataifa makubwa.
Alichokisema MBOWE haikua kuteleza kwa ulimi. Nadhani huu ndio mkakati mzima wa upinzani, hasa CDM, kuleta vurugu na kuwashambulia polisi mpaka polisi wawaue watu wengi.
Nadhani "handlers" wao waliwaambia kuwa kama watu 100 au 200 wakiuawa na polisi basi itayafanya mataifa makubwa watoe tamko kuwa:
Magufuli hafai, ANAWAUA WATU WAKE.
He is out of control, he is KILLING HIS OWN PEOPLE.
DHAMIRA
Kwa shinikizo hili la kuwa Magufuli ni kiongozi mbaya na sasa ANAUA RAIA WAKE MWENYEWE itakuwa rahisi kwa Security Council ya Umoja wa mataifa kuingilia kati.
Sote tunajua, kama UN Security Council italeta majeshi ya kuuingilia kati utawala wa Magufuli, ni nani hasa atakaeletwa.
NONDO
Je ni kweli kuwa, kama huu utekaji wa NONDO ni fekero, basi huu ni muendelezo tu wa haka kamchezo kachafu kanakochezwa na upinzani?
Muulizeni jamaa yenu sababu yakumiliki Maadui wengi badala ya marafikiLolote lawezekana aisee.
Na kusema ukweli Magufuli ana maadui kila kona.
Hata ndani ya CCM wapo. CHADEMA ndo wamejaa hadi pomoni.
Hivyo sitashangaa kabisa kama kuna mipango ya hujuma dhidi yake na wahusika wakawa ni kutoka CHADEMA na CCM wakifanya kazi kwa ushirikiano.
FactMatukio ya kutengeneza:
1.Magufuli kusema vichwa vya treni havina mmiliki kumbe ni vya serikali!
2. Sakata la acacia na makinikia.
3.....
Kweli Nyani Ngabu na akili yako na exposure yako ndio unaandika hayo?Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.
Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.
Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.
Msidanganyike kirahisi. Stukeni.