bellamy nae anaweza kufungiwa pia, jamaa tulikuwa tunawashangaa bure wananunua ma striker kibao kumbe walijua kwamba mastriker wao wakorofi kwahio lazima wajiandee..
 
Last edited:
A few things:

When the announce the time added on its a minimum - not when then game should finish, but the minimum time the game should finish, in this case it was 94 minutes

Then the ref had to add time on for bellamys goal celebration, and as they said on MOTD2 it was 56 seconds from the time the ball crossed the utd goal line and to when kick off was taken.

Then SAF brought on carrick - adding another 30 seconds this equals 1 minute and 26 seconds. 94 + 1.26 = 95.26

Owens goal was at 95.27

yes 1 second over but at 95.26 i can imagine the ball was roughly at owens feet in the penalty area just before he scored, and that isnt somewhere, where you would finish a game is it.

Asante mkuu, asiyeelewa hapa hawezi kuelewa kamwe.
 
mkuu, hivi wachezaji wanaruhusiwa kushangilia bado indefinately? Mi nilidhani ni sekunde 30 hivi na ndivyo walivyosema, bao lilifungwa dakika ya 90 sio ya 89, na kama ukiongeza sekunde 30 mpira ulikuwa uishe dakika ya 94 na nusu, sasa hilo la 95 na ushee linatoka wapi?

kubalini kuwa hapo Old traford kuna kubebana na huu mjadala haujaanza leo mkuu!

,,,Mkuu hio HAIJALISHI,wakati huo muda wa nyongeza unaendelea KUONGEZWA,game ilikua 3-3,sasa nani kapendelewa hapo???,Ajabu Man City wao wakawa wanataka mpira uishe,inashangaza,kwani wao wanacheza kwa ajili ya draw tu au point 3 mazee??,lile bao la MO ni SMASH and GRAB lol
 
Kama tulivyowarob nyie Moscow mwaka jana? Lol!!Sasa Man City wangefunga mngesema Man Utd wamekuwa robbed ama mngechekelea na kusema sisi bila Ronaldo ni weupe?

Ahahahahah Mazee thats a Mickey Mouse Punches....Man Utd itaendelea kuwa top bila Ronaldo, lakini kule ulikosema Modric is everything kwa Tottenham is quite unfair kwa wachezaji wengine wa timu ile. Tunajua mechi za OT huwa kuna namna, Red Cards on opposition teams, penalties, unfair refereeing, extra time 8 min etc etc....Wenger said three years ago!
 
Siyo kama unacheza na MANU tena wakiwa kwao na timu pinzani inawakosa baadhi ya wacheza wake nyota. Kwa maoni yangu walikuwa na advantage ya 80% to 20% :)

Hiyo advantage siyo sahihi ktk mechi hii kwani City walionyesha uwezo mkubwa wa kufunga magoli hapo Old Trafford, only that each time they came from behind to equalize, giving United a little edge especially kyk second half.

Kama refa aliongeza hizo dak mbili, baada ya zile 4 zilizoonyeshwa, basi it was open to either team to score a winner, in which United did and City didn't. Kidogo ingeeleweka iwapo kama wakati huo MUnited ilikuwa nyuma, kwa goli moja, hapo labda tungeshuku kama refa alikuwa anataka wasawazishe tu. Lakini siyo katika mechi ambayo ni cliff hanger kama hii.

Kutaka haki, Mark Hughes asingekuwa anambughudhi asst refa kulalaamikia kuendelea kwa mchezo baada ya dakika 4 za nyongeza, kwani kutokana na timu yake kuequalize kila mara, basi angeomba hata mchezo uendelee tu ili iwape fursa ya ku-equalize tena kama walivyofanya mara tatu nhuma.

Hughes alionekana kulilia sare, wakati Man walionekana kulilia ushindi, kitu ambacho kinazitofautisha timu hizi mbili kwa kiwango kikubwa.

Issue nyingine ni kwamba refa ana haki ya kuongeza muda hata baada ya zile za nyongeza za majeruhi kutokana na sababu mbali mbali. Timu inaweza kupoteza muda bila sababu za msingi. Ni discretion ya refa tu.
 

Life in the old dogs yet
Galling stuff for Wenger and exacerbated when he was pointlessly sent from his technical area by referee Mike Dean on the say-so of the fourth official after he kicked a plastic bottle in frustration when Robin van Persie's injury-time strike was chalked off for offside
wenger595getty.jpg

...na bado, Liverpool na Chelski jiandaeni!...​
 
Ilikuwa Derby ya ukweli inabidi ndugu zote Liverpool,Chelsea na Arsenal mje kujifunza ni jinsi gani game ya wapinzani inatakiwa kuwa sio game inakuwa upande mmoja

Thanks Belo, tumejifunza mengi sana pamoja na daylight robbery by the ref, we will try that... given a chance!!

Tumejifunza pia fita za soka zilivyo successful in England. Dawa yenu ni kuchapa nne ndani ta dk tisini kwisha!!!
 
Mbona last season Liverpool mlitupiga game zote 2,Game zote VIDIC alipewa red card
Ukitaka kumfunga MAN unatakiwa kucheza hadi filimbi ya mwisho hii timu ina historia ya kufunga magoli dakika za nyongeza
 
Mbona last season Liverpool mlitupiga game zote 2,Game zote VIDIC alipewa red card
Ukitaka kumfunga MAN unatakiwa kucheza hadi filimbi ya mwisho hii timu ina historia ya kufunga magoli dakika za nyongeza

Kwa hiyo ulitaka hata akicheza rafu apewe kadi ya kijani?

The point is, you scored on the 96th minutes of the game that had four minutes of added time
 
Nyie hamjawahi kubebwa? Unakumbuka game na Atletico Madrid

So you want to tell me that two wrongs can make it right huh!!?? Tukubaliane kwanza it was a daylight robber dhini ya Mancity halafu tuendelee na mada ya Liverpool kwenye thread ya the kops sawa???

Hii ni kama ile ya primary, tukazipigie kuleee nje ya shule
 
So you want to tell me that two wrongs can make it right huh!!?? Tukubaliane kwanza it was a daylight robber dhini ya Mancity halafu tuendelee na mada ya Liverpool kwenye thread ya the kops sawa???

Hii ni kama ile ya primary, tukazipigie kuleee nje ya shule

Sorry kwa kuingilia ila as a Man Utd fan nipo responsible kujibu, sasa mkuu MTM ina maana sikuhizi nguvu na uwezo wa refa haupo tena au ndio kusema mwamuzi wa mwisho wa mechi za soccer siku hizi ni mashabiki wasioipenda Man Utd

Sasa hivi najua wengi mnalialia sana Man Utd akishinda, angefungwa wala kusingekuwa na kelele za kumlaumu refa ila zingekuwepo shangwe za kucheka kwamba tumefungwa ha ha ha poleni sana kama ni nyuzi basi Man city ilikuwa siku yao kutolewa mshono mkuu. EID kipilau kimeshuka taratibuuuu
 
Imebaki bikra moja ya Chelsea kuondolewa

Hiyo haiwezi kuondolewa na timu ya wachezaji 11 wa Man utd mpaka muongezewe akina Mike Dean na Alan Wiley na wengineo, tofauti na hapo. Man hamtowaweza Chelsea kwa mpira wenu wa kihivyo.
 
Hiyo haiwezi kuondolewa na timu ya wachezaji 11 wa Man utd mpaka muongezewe akina Mike Dean na Alan Wiley na wengineo, tofauti na hapo. Man hamtowaweza Chelsea kwa mpira wenu wa kihivyo.

Sio Chelsea tu hata Burnley hatuwawezi, last season tuliwapiga 3 bila je tulibebwa?
 
Hiyo haiwezi kuondolewa na timu ya wachezaji 11 wa Man utd mpaka muongezewe akina Mike Dean na Alan Wiley na wengineo, tofauti na hapo. Man hamtowaweza Chelsea kwa mpira wenu wa kihivyo.


OOOh asante sana!
 
Sorry kwa kuingilia ila as a Man Utd fan nipo responsible kujibu, sasa mkuu MTM ina maana sikuhizi nguvu na uwezo wa refa haupo tena au ndio kusema mwamuzi wa mwisho wa mechi za soccer siku hizi ni mashabiki wasioipenda Man Utd

Sasa hivi najua wengi mnalialia sana Man Utd akishinda, angefungwa wala kusingekuwa na kelele za kumlaumu refa ila zingekuwepo shangwe za kucheka kwamba tumefungwa ha ha ha poleni sana kama ni nyuzi basi Man city ilikuwa siku yao kutolewa mshono mkuu. EID kipilau kimeshuka taratibuuuu

Sasa wewe ulitaka nifanyeje nikiwa mpinzani wa jadi???
 
Sio Chelsea tu hata Burnley hatuwawezi, last season tuliwapiga 3 bila je tulibebwa?


utajua mlibebwa au siyo mkija darajani tarehe 8 November, Burnley waliwashinda kwa sababu refa alikuwa mgeni wa ligi hajui kama Man U ni timu ya FA, angekuwa Mike Dean mechi mlikuwa mnashinda ile.
Man Utd sio wabovu kihivyo, ila mtakapokutana na watoto mbwa darajani mtamkumbuka sana Mike Riley.
 
utajua mlibebwa au siyo mkija darajani tarehe 8 November, Burnley waliwashinda kwa sababu refa alikuwa mgeni wa ligi hajui kama Man U ni timu ya FA, angekuwa Mike Dean mechi mlikuwa mnashinda ile.
Man Utd sio wabovu kihivyo, ila mtakapokutana na watoto mbwa darajani mtamkumbuka sana Mike Riley.

Wakumbushe community shield ilikuwaje?
 
Back
Top Bottom