Hehehe...Kwa beki ya lindelof na evans ata wakimkodisha yule wa shaolin soccer hataweza kuwasaidia
EPL??Bora kombe libebwe na arsenal au liverpool
Potelea mbali bora tu City aendelee kubeba kombe hata kama Epl itaonekana ni farmers league, ikishindikana kabisa ni bora Liverpool achukue lakini sio Arsenyau.Bora kombe libebwe na arsenal au liverpool
Huyo Arsenal sio wakumpa kombe, tutakua hatujambi wala hatupumui.Bora kombe libebwe na arsenal au liverpool
Mid-table coachNampenda sana kocha wa atletico Bilbao Ernest valverde
Km Eric ataondoka ningependa asajiliwe bwana valverde
Acha utani mangi, bora city alibebe tenaBora kombe libebwe na arsenal au liverpool
Kabisa ngoshaHuyo Arsenal sio wakumpa kombe, tutakua hatujambi wala hatupumui.
Nibora achukue jirani tu, maana yeye hana sumu huku mtaani.
Umetuchanganya ka Livakuku mkuu. Mbona sisi watu simple tena peace sana?Huyo Arsenal sio wakumpa kombe, tutakua hatujambi wala hatupumui.
Nibora achukue jirani tu, maana yeye hana sumu huku mtaani.
Let's go wapi🤠🤠...leo Kila nikichungulia naona kosakosa kuna mtu anakula 4....Sasa huu muda ulobaki naangalia hzo nne anakula mwny jezi nyekundu au mwenye blue bahariLet's go the red devils 🔥🔥
Ukienda England mahasimu wakubwa wa Manunu ni City na Liverkuku...hzi chuki kwa Arsenal ni sisi huku kwetu ngozi nyeusi...kwhyo Bora Arsenal kuliko hao wawili wakibeba🤠🤠Kabisa ngosha
Me nataka droo tu inatoshaLet's go wapi🤠🤠...leo Kila nikichungulia naona kosakosa kuna mtu anakula 4....Sasa huu muda ulobaki naangalia hzo nne anakula mwny jezi nyekundu au mwenye blue bahari