Bora kombe libebwe na arsenal au liverpool
Potelea mbali bora tu City aendelee kubeba kombe hata kama Epl itaonekana ni farmers league, ikishindikana kabisa ni bora Liverpool achukue lakini sio Arsenyau.
Arsenyani akibahatisha kuchukua Epl tutasimangwa humu mpaka tukufe.
Raha kubwa ya Epl ni kuona mashabiki wa Arsenyeto humu jinsi wavyopeana false hopes halafu ikifika mwisho wa msimu wanaanza kutukanana yenyewe kwa wenyewe
 
Back
Top Bottom