Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Umeandika kwa hisia sana😂Mechi ngumu sana, kwa man u na city. Lately tumekuwa tukitengeneza nafasi za magoli, uchoyo,ubinafsi na umaliziaji mbaya ukawa unatuhukumu, tukivifanyia kazi hivyo, city anakufa mapema watu tuna pack bus maana uwezo wa kuchezea mpira hatuna.
My bet:
First team to score: man u🔥🔥🔥