Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mechi ngumu sana, kwa man u na city. Lately tumekuwa tukitengeneza nafasi za magoli, uchoyo,ubinafsi na umaliziaji mbaya ukawa unatuhukumu, tukivifanyia kazi hivyo, city anakufa mapema watu tuna pack bus maana uwezo wa kuchezea mpira hatuna.

My bet:
First team to score: man u🔥🔥🔥
Umeandika kwa hisia sana😂
 
Kumbe Tajiri anamwaga hela sana halafu munamlaumu bure tu
20240303_174017.jpg
 
Back
Top Bottom