1716441455288.png


Ederson
 
Dunia haimpi heshima kubwa huyu mzee
INTER MILAN Walimharibiaga sana huyu Mzee, Cha ajabu Sababu kubwa anasemaga alitaka anzisha Mfumo wa Beki 3 wa Kati! Tangu hapo Timu zinamchukulia Poa ila Ni mtu Na Nusu. Walimfukuza Mwanzo wa msimu kabisa

Hii Dunia kwa sasa kuna ANCELOTTI halafu wanakuja walimu wengine. Kuna haja ya Timu hizi kubwa kuanza Bet hata kwa walimu kama GASPERINI.
Kubwa zaidi kwa Gasperini anajua sana endeleza Talanta za Vijana, Hawahesabiki!
 
INTER MILAN Walimharibiaga sana huyu Mzee, Cha ajabu Sababu kubwa anasemaga alitaka anzisha Mfumo wa Beki 3 wa Kati! Tangu hapo Timu zinamchukulia Poa ila Ni mtu Na Nusu. Walimfukuza Mwanzo wa msimu kabisa

Hii Dunia kwa sasa kuna ANCELOTTI halafu wanakuja walimu wengine. Kuna haja ya Timu hizi kubwa kuanza Bet hata kwa walimu kama GASPERINI.
Kubwa zaidi kwa Gasperini anajua sana endeleza Talanta za Vijana, Hawahesabiki!
vp, anafaa kwenye viunga vya OT?..?
 
vp, anafaa kwenye viunga vya OT?..?
GASPERINI Project ya timu kama CHELSEA Itamfaa zaidi kwa sababu ya aina ya Wachezaji walionao. UTD Nadhani kiasili Nyota wake wengi wamekuwa ni WINGS, Nafasi ambayo kwa GASPERINI Haitumii kabisa.

Nje ya ETH, kama UTD inaangalia zaidi Mwalimu hakuna Perfect Fit zaidi ya KLOPP ila Haiwezekani. Chaguo Bora kwa aina ya Mpira wa UTD 'TRANSITION' ni Sebastian Hoeness maana anatumia Classic 4~4~2 ya Kushambulia kama UTD ya Miaka Yote na wanatumia Muda mchache sana kufika Goli la Mpinzani.
 
GASPERINI Project ya timu kama CHELSEA Itamfaa zaidi kwa sababu ya aina ya Wachezaji walionao. UTD Nadhani kiasili Nyota wake wengi wamekuwa ni WINGS, Nafasi ambayo kwa GASPERINI Haitumii kabisa.

Nje ya ETH, kama UTD inaangalia zaidi Mwalimu hakuna Perfect Fit zaidi ya KLOPP ila Haiwezekani. Chaguo Bora kwa aina ya Mpira wa UTD 'TRANSITION' ni Sebastian Hoeness maana anatumia Classic 4~4~2 ya Kushambulia kama UTD ya Miaka Yote na wanatumia Muda mchache sana kufika Goli la Mpinzani.
Haya
 
Ederson na Teum Kopmeiners ni wachezaji type ya Man United ambao scout wetu hawaoni.

Kopmeiners ameomba kuondoka Atalanta mwisho wa msimu ili kutafuta changamoto mpya. Kipara amchukue kuziba pengo la Eriksen.
Ederson ni version ya Fred mwenye akili, nguvu na ukomavu
Scouting ya UTD ipo Fresh sana ila watendaji walikuwa Hovyo. wale wa Holland walipendekeza TEUN tangu Yupo AZ Alkamaar tena kama DM na nyakati nyingine akiwa anacheza CB na alikuwa Nahodha.
OLE angekuwa Mzuri sana kama Mkurugenzi wa Michezo/Ufundi mana alikuja wakati wake.

EDERSON na SCALVINI nadhani kwa Timu ya Scouting ya UTD Italy wanaeza kuwa Moja ya wachezaji wanaotajwa sana kuwafatilia. INEOS sijajua utendaji wao utakuwaje ila wakianza na Sajili kama Hizi watakuwa kweli wapo Siriazi.
 
Scouting ya UTD ipo Fresh sana ila watendaji walikuwa Hovyo. wale wa Holland walipendekeza TEUN tangu Yupo AZ Alkamaar tena kama DM na nyakati nyingine akiwa anacheza CB na alikuwa Nahodha.
OLE angekuwa Mzuri sana kama Mkurugenzi wa Michezo/Ufundi mana alikuja wakati wake.

EDERSON na SCALVINI nadhani kwa Timu ya Scouting ya UTD Italy wanaeza kuwa Moja ya wachezaji wanaotajwa sana kuwafatilia. INEOS sijajua utendaji wao utakuwa1e ila wakianza na Sajili kama Hizi watakuwa kweli wapo Siriazi.
Teun Kopmeiners ni perfect fit ya mahitaji ya Ten Hag yeye na Bruno wanaweza kucheza vizuri.
 
Teun Kopmeiners ni perfect fit ya mahitaji ya Ten Hag yeye na Bruno wanaweza kucheza vizuri.
Sahihi! Ila TEUN Akicheza DM anatisha zaidi anakuwa kama MATIC.
Ila kwenda UTD naona Itakuwa Changamoto mana Arne Slot anamkubali sana na alikuwa Jeshi lake akiwa nao AZ ALKMAAR. Njia ya Kwenda LIVERPOOL inaweza kuwa Rahisi.

ATALANTA naona UTD ipambane zaidi na SCALVINI/EDERSON/SCAMACCA
 
Sahihi! Ila TEUN Akicheza DM anatisha zaidi anakuwa kama MATIC.
Ila kwenda UTD naona Itakuwa Changamoto mana Arne Slot anamkubali sana na alikuwa Jeshi lake akiwa nao AZ ALKMAAR. Njia ya Kwenda LIVERPOOL inaweza kuwa Rahisi.

ATALANTA naona UTD ipambane zaidi na SCALVINI/EDERSON/SCAMACCA
Scamaca hapana na hawezi kuwa na impact
 
Scamaca hapana na hawezi kuwa na impact
SCAMACCA Mwangalie Upya! Anaweza Cheza kama Target Man.
SCAMACCA ni Hatari sana kwa Timu ya "Transition" anajua Cheza kwa kulipa Goli Mgongo na Ni hatari sana kwenye "KEY PASSES" Nadhani ana ASSISTS nyingi sana msimu huu na Nafasi kulinganisha na CF wengi.

kwa Uhitaji wa UTD, SCAMACCA Ni Chaguo Bora zaidi. Mwingine naweza Ona anafaa ni ZIRKZEE.
 
SCAMACCA Mwangalie Upya! Anaweza Cheza kama Target Man.
SCAMACCA ni Hatari sana kwa Timu ya "Transition" anajua Cheza kwa kulipa Goli Mgongo na Ni hatari sana kwenye "KEY PASSES" Nadhani ana ASSISTS nyingi sana msimu huu na Nafasi kulinganisha na CF wengi.

kwa Uhitaji wa UTD, SCAMACCA Ni Chaguo Bora zaidi. Mwingine naweza Ona anafaa ni ZIRKZEE.
Scamaca? Unatania au upo serious? Timu inayohitaji kupambana na kina man city alafu target man anakua scamaca?
 
Back
Top Bottom