M Z A N Z I B A R I
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 21,840
- 117,924
Ederson
INTER MILAN Walimharibiaga sana huyu Mzee, Cha ajabu Sababu kubwa anasemaga alitaka anzisha Mfumo wa Beki 3 wa Kati! Tangu hapo Timu zinamchukulia Poa ila Ni mtu Na Nusu. Walimfukuza Mwanzo wa msimu kabisaDunia haimpi heshima kubwa huyu mzee
Ifike hatua wewe na Onana mkae chini mmalize tofauti zenu😃Uwezo wa kumfunga city mnao. Tatizo pale golini kwenu kuna shati. Akikaa kipa wa kueleweka hii game mnashinda. Tafuteni kipa wa kueleweka
Mpuuzi yule alinikosesha 5M za wazi wazi 🤣🤣🤣🤣Ifike hatua wewe na Onana mkae chini mmalize tofauti zenu😃
Nilijua tuu sio kwa kumkandia huko wakati jamaa katusave sana mwishoniMpuuzi yule alinikosesha 5M za wazi wazi 🤣🤣🤣🤣
vp, anafaa kwenye viunga vya OT?..?INTER MILAN Walimharibiaga sana huyu Mzee, Cha ajabu Sababu kubwa anasemaga alitaka anzisha Mfumo wa Beki 3 wa Kati! Tangu hapo Timu zinamchukulia Poa ila Ni mtu Na Nusu. Walimfukuza Mwanzo wa msimu kabisa
Hii Dunia kwa sasa kuna ANCELOTTI halafu wanakuja walimu wengine. Kuna haja ya Timu hizi kubwa kuanza Bet hata kwa walimu kama GASPERINI.
Kubwa zaidi kwa Gasperini anajua sana endeleza Talanta za Vijana, Hawahesabiki!
Mpuuzi yule alinikosesha 5M za wazi wazi
GASPERINI Project ya timu kama CHELSEA Itamfaa zaidi kwa sababu ya aina ya Wachezaji walionao. UTD Nadhani kiasili Nyota wake wengi wamekuwa ni WINGS, Nafasi ambayo kwa GASPERINI Haitumii kabisa.vp, anafaa kwenye viunga vya OT?..?
Wenzako wako busy kutafuta Kocha mkasidiane kuleNyumbu mmeamua kukimbia majukumu 😂
View attachment 2997562
HayaGASPERINI Project ya timu kama CHELSEA Itamfaa zaidi kwa sababu ya aina ya Wachezaji walionao. UTD Nadhani kiasili Nyota wake wengi wamekuwa ni WINGS, Nafasi ambayo kwa GASPERINI Haitumii kabisa.
Nje ya ETH, kama UTD inaangalia zaidi Mwalimu hakuna Perfect Fit zaidi ya KLOPP ila Haiwezekani. Chaguo Bora kwa aina ya Mpira wa UTD 'TRANSITION' ni Sebastian Hoeness maana anatumia Classic 4~4~2 ya Kushambulia kama UTD ya Miaka Yote na wanatumia Muda mchache sana kufika Goli la Mpinzani.
Ederson na Teum Kopmeiners ni wachezaji type ya Man United ambao scout wetu hawaoni.
Alonso ni hakuwa na plan B zaidi ya kutegemea bahati ya comeback tu.Gasperini Vs Alonso.
Dunia haimpi heshima kubwa huyu mzee.
Scouting ya UTD ipo Fresh sana ila watendaji walikuwa Hovyo. wale wa Holland walipendekeza TEUN tangu Yupo AZ Alkamaar tena kama DM na nyakati nyingine akiwa anacheza CB na alikuwa Nahodha.Ederson na Teum Kopmeiners ni wachezaji type ya Man United ambao scout wetu hawaoni.
Kopmeiners ameomba kuondoka Atalanta mwisho wa msimu ili kutafuta changamoto mpya. Kipara amchukue kuziba pengo la Eriksen.
Ederson ni version ya Fred mwenye akili, nguvu na ukomavu
Teun Kopmeiners ni perfect fit ya mahitaji ya Ten Hag yeye na Bruno wanaweza kucheza vizuri.Scouting ya UTD ipo Fresh sana ila watendaji walikuwa Hovyo. wale wa Holland walipendekeza TEUN tangu Yupo AZ Alkamaar tena kama DM na nyakati nyingine akiwa anacheza CB na alikuwa Nahodha.
OLE angekuwa Mzuri sana kama Mkurugenzi wa Michezo/Ufundi mana alikuja wakati wake.
EDERSON na SCALVINI nadhani kwa Timu ya Scouting ya UTD Italy wanaeza kuwa Moja ya wachezaji wanaotajwa sana kuwafatilia. INEOS sijajua utendaji wao utakuwa1e ila wakianza na Sajili kama Hizi watakuwa kweli wapo Siriazi.
Sahihi! Ila TEUN Akicheza DM anatisha zaidi anakuwa kama MATIC.Teun Kopmeiners ni perfect fit ya mahitaji ya Ten Hag yeye na Bruno wanaweza kucheza vizuri.
Scamaca hapana na hawezi kuwa na impactSahihi! Ila TEUN Akicheza DM anatisha zaidi anakuwa kama MATIC.
Ila kwenda UTD naona Itakuwa Changamoto mana Arne Slot anamkubali sana na alikuwa Jeshi lake akiwa nao AZ ALKMAAR. Njia ya Kwenda LIVERPOOL inaweza kuwa Rahisi.
ATALANTA naona UTD ipambane zaidi na SCALVINI/EDERSON/SCAMACCA
SCAMACCA Mwangalie Upya! Anaweza Cheza kama Target Man.Scamaca hapana na hawezi kuwa na impact
Scamaca? Unatania au upo serious? Timu inayohitaji kupambana na kina man city alafu target man anakua scamaca?SCAMACCA Mwangalie Upya! Anaweza Cheza kama Target Man.
SCAMACCA ni Hatari sana kwa Timu ya "Transition" anajua Cheza kwa kulipa Goli Mgongo na Ni hatari sana kwenye "KEY PASSES" Nadhani ana ASSISTS nyingi sana msimu huu na Nafasi kulinganisha na CF wengi.
kwa Uhitaji wa UTD, SCAMACCA Ni Chaguo Bora zaidi. Mwingine naweza Ona anafaa ni ZIRKZEE.