Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

SCAMACCA Mwangalie Upya! Anaweza Cheza kama Target Man.
SCAMACCA ni Hatari sana kwa Timu ya "Transition" anajua Cheza kwa kulipa Goli Mgongo na Ni hatari sana kwenye "KEY PASSES" Nadhani ana ASSISTS nyingi sana msimu huu na Nafasi kulinganisha na CF wengi.

kwa Uhitaji wa UTD, SCAMACCA Ni Chaguo Bora zaidi. Mwingine naweza Ona anafaa ni ZIRKZEE.
Yaani mnatujaza kabisa tena tuchukue Scamacca dah 😄
 
Yaani mnatujaza kabisa tena tuchukue Scamacca dah
Watu hawamuoni Artem Dorbyk Ila wanamuona Scamaca.

Scamaca na Lautaro Martinez nenda kwa Lautaro atakupa magoli 15 ya ligi kwa Msimu ila atakupa impact kubwa sana uwanjani.

Mpaka leo mashabiki wa United hawajapta jibu kwanini Rashford aliperform vizuri January 2023 hadi mwisho wa msimu wanashindwa kusema kuwa Weghorst alimfungua Rashford kwa sababu Weghorst hakuwa kipenzi chao.
 
Leo anakufa MTU Goli nyingi Man City ana hasira mbaya za kutaka kulibeba NDOO kiroho mbaya kwa HIO wadau wa Mwamtesa United KAENI mkao wa kipigo
 
Kikosi Cha Bwenyenye Sir Jim kimeshuka kimetoa ahadi lazima kombe liende OT.

Manchester United inacheza Leo na dunia nzima ina furaha 😁😁😁

My prediction
Manchester City 1 VS Manchester United 3

watapigwa Sana wale 😁😁
20240525_150658.jpg
 
Back
Top Bottom