Lini na wapi?Ten Haag OUT sio??
Halafu unaona kwenye replacement list yake kuna huyu kilaza aliyefukuzwa chelsea. Wakati mwingine hata kushangaa unashindwa aseeUnafukuza Ten Hag unataka kocha wa Championship, hii team itachukua muda kupata mabadiliko ya kweli
Yaani mnatujaza kabisa tena tuchukue Scamacca dah 😄SCAMACCA Mwangalie Upya! Anaweza Cheza kama Target Man.
SCAMACCA ni Hatari sana kwa Timu ya "Transition" anajua Cheza kwa kulipa Goli Mgongo na Ni hatari sana kwenye "KEY PASSES" Nadhani ana ASSISTS nyingi sana msimu huu na Nafasi kulinganisha na CF wengi.
kwa Uhitaji wa UTD, SCAMACCA Ni Chaguo Bora zaidi. Mwingine naweza Ona anafaa ni ZIRKZEE.
Watu hawamuoni Artem Dorbyk Ila wanamuona Scamaca.Yaani mnatujaza kabisa tena tuchukue Scamacca dah![]()
mwenye link tushuhudie wote humu?