fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 2,543
- 7,166
hapa nimepapenda zaidi.Palace, Nottingham, W/ham, Everton, Luton, Sheffield, zinashindwa chukua Watu wao kwa sababu tumewafunga na Mikataba mikubwa.
Ni ukweli usiopingika tumeshuka sana kiubora katika nyanja mbalimbali ila kinachonipa hofu zaid ni kwamba tunaona tumeshuka lakini hatujali sana.
Tunajidanganya tunataka kocha na wachezaji wanaocheza the united way ila wakati tunasajili hatufanyi sajili za namna hiyo,tunafanya sajili ili kuuza jersey na kupata mikataba bora ya udhamini.