arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
🤣🤣🤣🤣....mjiandae...hata kumi mpigwe...yule kocha wenu ana maneno ya shombo sanaIla leo, kipara sijui atatupiga ngapi na alivo na hasira na maneno ya Sir Jim.. sijui tu
🤣🤣🤣🤣....mjiandae...hata kumi mpigwe...yule kocha wenu ana maneno ya shombo sanaIla leo, kipara sijui atatupiga ngapi na alivo na hasira na maneno ya Sir Jim.. sijui tu
Usijisumbue kuangalia mpira...utaumia nafsi tu🤠🤠Me nataka droo tu inatosha
Mara mia wa Inter au arudi OleNampenda sana kocha wa atletico Bilbao Ernest valverde
Km Eric ataondoka ningependa asajiliwe bwana valverde
Yani mmiliki wenu hana tofauti na Ali Kamwe, Kocha ndo Ahmed Ali mtupu.. Mtafute maneno ya kuwajibu leo.Ila leo, kipara sijui atatupiga ngapi na alivo na hasira na maneno ya Sir Jim.. sijui tu
Manyumbu wanakazaga wakikutana na Arsenal, Chelsea & Liverpool. Ila wakikutana na man city, wanachezaga kama wamekatwa miguuUsijisumbue kuangalia mpira...utaumia nafsi tu🤠🤠
Hakuna droo. Wapigwe nyingi, sisi tutamalizana nao wenyewe.Me nataka droo tu inatosha
Kiuwezo kwa sasa Mamacita kashindikanika, bila kupepesa maneno hatumuwezi.Manyumbuuuzz. Je leo mtaweza kukomaa na mamacita awaachie points zenu 3? Au mtamwachia aendeleze ubabe jijini Manchester?
Nyinyi munatakiwa mubaki hapo hapo mpaka sisi pombe ikitutoka.Umetuchanganya ka Livakuku mkuu. Mbona sisi watu simple tena peace sana?
Nasisi ngozi nyeusi ndio hatutaki kero huku mitaani kwetu.Ukienda England mahasimu wakubwa wa Manunu ni City na Liverkuku...hzi chuki kwa Arsenal ni sisi huku kwetu ngozi nyeusi...kwhyo Bora Arsenal kuliko hao wawili wakibeba![]()
Mechi saa ngapi hii!?Manyumbu wanakazaga wakikutana na Arsenal, Chelsea & Liverpool. Ila wakikutana na man city, wanachezaga kama wamekatwa miguu
Mbona record zinaonyesha Arsenal ndiyo mchepuko wa Man city ?Manyumbu wanakazaga wakikutana na Arsenal, Chelsea & Liverpool. Ila wakikutana na man city, wanachezaga kama wamekatwa miguu




