Palace, Nottingham, W/ham, Everton, Luton, Sheffield, zinashindwa chukua Watu wao kwa sababu tumewafunga na Mikataba mikubwa.
:D:D:D hapa nimepapenda zaidi.
Ni ukweli usiopingika tumeshuka sana kiubora katika nyanja mbalimbali ila kinachonipa hofu zaid ni kwamba tunaona tumeshuka lakini hatujali sana.
Tunajidanganya tunataka kocha na wachezaji wanaocheza the united way ila wakati tunasajili hatufanyi sajili za namna hiyo,tunafanya sajili ili kuuza jersey na kupata mikataba bora ya udhamini.
 
Wanangu wa unyumbuni
Wazee GD 0
20240301_123014.jpg
 
Bora kombe libebwe na arsenal au liverpool
Potelea mbali bora tu City aendelee kubeba kombe hata kama Epl itaonekana ni farmers league, ikishindikana kabisa ni bora Liverpool achukue lakini sio Arsenyau.
Arsenyani akibahatisha kuchukua Epl tutasimangwa humu mpaka tukufe.
Raha kubwa ya Epl ni kuona mashabiki wa Arsenyeto humu jinsi wavyopeana false hopes halafu ikifika mwisho wa msimu wanaanza kutukanana yenyewe kwa wenyewe
 
Back
Top Bottom