M Z A N Z I B A R I
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 21,846
- 117,945
NEW: John Murtough held talks with Mason Greenwood's father, Andrew, at Carrington a fortnight ago.
[@TheAthleticFC]
[@TheAthleticFC]
Walete pesa tuwauzie RamsdaleTafuteni kipa wa kueleweka
Halafu Arsenyau atapata kombe gani?Hongereni manyumbu. Kombe la FA mnaweza kulipata.
Sisi phase 4 ndiyo phase ya makombe. Kwa sasa bado tuko phase 3 tunaweka mambo madogo madogo sawa 😄😄😄Halafu Arsenyau atapata kombe gani?
wazee wa fezi foo, kama msimu huu bado mko fezi sirii basi msimu ujao mtakua fezi too Arsenyau kasoro mkia nyie.Sisi phase 4 ndiyo phase ya makombe. Kwa sasa bado tuko phase 3 tunaweka mambo madogo madogo sawa
Sisi tumetulia zetu nyie mnatusumbua. Tukikasirika tutabeba makombe na phase 3 hii hii wapuuzi nyie.wazee wa fezi foo, kama msimu huu bado mko fezi sirii basi msimu ujao mtakua fezi too Arsenyau kasoro mkia nyie.
hapa nimepapenda zaidi.Palace, Nottingham, W/ham, Everton, Luton, Sheffield, zinashindwa chukua Watu wao kwa sababu tumewafunga na Mikataba mikubwa.
Kwa beki ya lindelof na evans ata wakimkodisha yule wa shaolin soccer hataweza kuwasaidiaTafuteni kipa wa kueleweka aseee tafuteni hata deiwaka ila sio Onana Jumapili otherwise mtadhalilika sana
Typical Nyumbu