Nipo hoi
Siku glazers watakapobwaga manyanga na ndio mikosi yote itaondoka pale traford
Hali tete sana Mkuu..
Na hawa jamaa nadhani bado wapo wapo..
Lakini walau kwa sasa mwanga utaonekana kama Jim ayasemayo atayasimamia haijalishi ugumu na changamoto atakazopitia..
Mpira ni Sayansi na Sanaa kwa wakati Mmoja..
Njia sahihi
Watu sahihi(kila idara)
Matokeo yanakuja yenyewe..
Muda utakuwa mfupi maamzi magumu yakifanyika
Muda utakuwa mrefu kiasi maamzi magumu yakichelewa..
Kocha ni wa kawaida(Bahati mbaya dunia haina tena mafundi wengi)..Ten Hag, Graham Potter, daraja moja tu hilo..
Ila kitu hatuna zaidi ni wachezaji..
Namtoa ;
Rasmus
Kobbie
Daraja A..
Onana
Alejandro
Lisandro
Dalot
Shaw
Bruno
Daraja B..
Waliobaki kwa kuongeza ukubwa wa timu, matumizi baadhi ya mechi mtego
Scott
Wan Bissaka..
Hawa kina
Antony
Harry
Casemiro
Varane
Victor
Mount
Rashford
Sancho and co
Wawapunguze tu..
Natumai tutatejea na tutabeba mataji tena kwa mwendelezo..
Lakini hadi hiyo siku ije kuna fagio lazima lipite..
Mshindi huwa hakubali kushindwa..
Hapa ndio ninapompa Pep(EXCELLENT)