johrobby
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,047
- 2,185
si alipewa ela akaishia kumsajil antony kwa 100 na magarasa wengne astahili sifa uyo n nyumbu anawang'ata na kuwapuliza oleguna alishawah kua namba2 na kikos cha elangaInafikia kipindi inabidi tumpe sifa zake 10Hag hadi hapa tulipofikia. Man utd ina ufinyu wa kikosi kiasi kwamba akikosekana mchezaji mmoja tu wa kikosi cha kwanza,timu nzima inakosa uwiano mzuri uwanja iwe kwenye beki (martinez),kiungo (casemiro) au ushambuliaji (rashford na/au Bruno).
Hii timu inahitaji wachezaji sio chini ya 8 ili mwakani mwalimu asipate shida kama hizi.