Muda wowote kuanzia sasa tunaweza kupigwa..Tunakimbizwa sana sahv
Hatimaye Son kaingia kambani 2-2Muda wowote kuanzia sasa tunaweza kupigwa..
Malacia kaingia hana impact yeyote na goli limetoka upande wake.


Huyu jasusi anamtoa WB anamuingiza Malacia, halafu unamtoa Anthony na Sancho unamuingiza Werghost na Martial


Mechi zote tulizocheza ukishamtoa Antony, biashara imeisha. Sasa leo na Bissaka katolewa kule kulia kukafa kabisaaa


halafu majagi7 kila mechi anarudia sub zake za kijingajinga yaani hata hajifunzi, ndio maana Bachelor ll amemuingiza kwenye list yake ya Majasusi.