Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,631
- 11,106
Hii top 4 ni ya United na Newcastle tu.Hawa Newcastle wahuni sana...kufumba na kufumbua wana 3-0
Hii top 4 ni ya United na Newcastle tu.Hawa Newcastle wahuni sana...kufumba na kufumbua wana 3-0
Muda wowote kuanzia sasa tunaweza kupigwa..Tunakimbizwa sana sahv
Hatimaye Son kaingia kambani 2-2Muda wowote kuanzia sasa tunaweza kupigwa..
Malacia kaingia hana impact yeyote na goli limetoka upande wake.


Huyu jasusi anamtoa WB anamuingiza Malacia, halafu unamtoa Anthony na Sancho unamuingiza Werghost na Martial

