Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

goli moja tu lilikuwa la akli la saka yale mawili papatu papatu ila wakaamdamana
Kabisaaaa aiseeee, mimi hua simuelewagi kabisa shabiki yoyote wa Man Utd anaeiombea Arsenyau ichukue ubingwa.
Ego ya shabiki yoyote wa Man Utd siku zote hua ni hivi
IMG_20230102_141107.jpg
 
Mimi nawapa dhamana Arsenal maana wao wakibeba EPL hamtaweza kuvunja record yoyote kati ya Three-peat au Treble.

Mkifanikiwa kuvunja Three-peat bado Pep itabidi afanye hivyo mara 2 kama SAF.
Arsenal?!!!!!


Mkuu kama ni arsenal ndio unaitegemea pole sana, intro tu kwanza pale etihad anakula 3 j5.

Nikiweka ushabiki pembeni,anayeweza kuwalindia rekodi yenu ni madrid tu (TREBLE) ila huku kwenye three peat utapoteza muda bure.
 
Arsenal?!!!!!


Mkuu kama ni arsenal ndio unaitegemea pole sana, intro tu kwanza pale etihad anakula 3 j5.

Nikiweka ushabiki pembeni,anayeweza kuwalindia rekodi yenu ni madrid tu (TREBLE) ila huku kwenye three peat utapoteza muda bure.
Vile vijamaa vina kelele sana, pigeni tu. 😂
 
Kama ulimtukana Dalot tema mate chini umuombe radhi Nilisema Dalot akicheza LB na Bisaka RB unaweza sema ni Ake na Akanji
 
Et mpira ukubwani scholes kaanza kucheza mpira akiwa mtoto ila kashindwa kuwa kocha bora pamoja na kuanza mpira utotoni kifupi huna logic

Post vitu usomeke hata kama utachapia angalau sio kila sentensi

Ukiacha rashford mchezaj gani wa ushambuliaji kafikisha goli 9 za ligi? Sancho mchango wake upo wap hata assist 5 hana halafu unapigania ubingwa huo ubingwa unataka kuiba? Kazidiwa hadi na antony ambae ana msimu mmoja tu ndani ya Epl tena katoka uholanzi

Bissaka anaonekana mzur kwa kukaba kwa sababu ya kushambuliwa sababu gani zinapelekea tunashambuliwa sana? Ina maana sisi muda wote ni kushambuliwa tu ili bissaka acheze vipi kutengeneza nafasi za kufunga ana asaist ngapi? Nipe jibu hapa wewe ulienza kushangilia mpir toka utotoni

Bissaka ni mchezaj wa akiba ikiwa beki muhmu zote zitaumia tia akilini


Liverpool tunawazidi point 6 tu tena wapo kwenye msimu mbovu sana ni kwa nini tunawazidi point chache hivyo?

Ukiwekewa sancho na saka unachukua yupi? Weka ushabiki pembeni kisha tuambie

Ganacho na Greenwood wana umuhimu mkubwa sana mbele ya sancho pengine sancho alikuwa ni wa dortmund sio manchester united kwa pesa aliyosajiliwa alitakiwa hata awe na assist hata 5 tu tunaweza kusema kwa kuwa hajacheza sana hadi kocha anampeleka kupatiwa matibabu awe sawa kahurumiwa kipaji chake ina maana hata kocha hajajua kama dogo kaanguka ila ww unajua? Huo muda yupo nje nani anafanya kazi yake vyema kuziba pengo? Unakuta hata kumkumbuka ni ngumu kwa sababu awepo au asiwepo hana mchango


Tupo kitambo kwenye hili jukwaa sio wapya huwa tunakaa kimya

Hadi muda huu ukisema utaje wachezaj kumi bora wanaotokea pembeni epl sancho hatoki na cha ajabu unataka aendelee kuwepo kwenye timu ambayo kila msimu inatakiwa kushinda ubingwa

Pep alimuacha Sane na ferran Torres hao walikuwa hovyo?

Pep alimuacha sancho hakuoma kitu?

Timu bora huwa na wachezaj bora wa kukupa matokeo bora wakati wowote

Watu kama ww ndio mnaosababisha wakina martial kuendelea kuwepo pale na kufanya ujinga mkiamini kesho wataamka na umr unakwenda timu inakula chuma 7 kila uchwao

Hadi analetwa WOUT WEGHORST ina maana mbela hakuna namna tena

Gabriel Jesus anauzwa ananunuliwa halland huyo Jesus kuna mtu wa kumuweka bench pale united?

Tunazidiwa magoli had na newcastle halafu unataka masharobalo waendelee kuwepo kisa mpira unaujua toka utotoni kazi ipo

Akiumia tu rashford kwisha habar
Tunasema kila siku.

Wachezaji wa kingereza hakuna kitu.

Bora wanunuliwe kwa £10m hata wasipofanya kitu hela haiumi.
 
Tumepitia mengi siku hizi asee.
Kwa kweli maoni yangu binafsi mchezaji pekee ambaye nikimuona anaingia Walau ninapata ahueni ni Wan Bissaka alafu unakuta eti wanawaza kumuuza.


Wan Bissaka abaki tu, kuna mechi maalumu amazo ni zake, hasa mechi ambayo timu pinzani mchezaji wap hatari anatokea kuria.


Refer Newcastle Saint Maximin, Brighton Mitoma, na timu zinazotegemea winga kujenga mashambulizi.

Kitu ambacho siafiki kabisa ni Rashford kukaa kati hasa tukiwa 0-0 au tukiwa tumetanguliwa, yaani tunakua ndio basi tena hakuna spark tena.

Mfano Jana, na Mechi ya Liverpool. Tunawachezaji wabovu ndio ila kuna wengine wanajitahidi, mfano jana Martial kua kati alijitahidi kukaba tukawa tunawapokonya mipira Rashford akikaa kati ni majanga.

Tatizo lingine ni kocha inamaana hapitii video aone mbele kuna ubnafsi wa hali ya juu na kukosa ukatili kabisa.
Anthony anawaza kufumua shuti tu.
Kocha anatakiwa kuwa mkali asee. Tunarudi kule kule kwa Ole.

Naamini Anthony angekua anawaza kuassisst kelele juu yake zingezim maana angesaidia sana.

Mwisho inabidi timu isafishe MAGUIRE kwa hali yoyote, Kina Elanga, na wajinga wengine.

Msimu ujao kuwe na sura mpya zenye passion ya Licha.
 
Tumepitia mengi siku hizi asee.
Kwa kweli maoni yangu binafsi mchezaji pekee ambaye nikimuona anaingia Walau ninapata ahueni ni Wan Bissaka alafu unakuta eti wanawaza kumuuza.


Wan Bissaka abaki tu, kuna mechi maalumu amazo ni zake, hasa mechi ambayo timu pinzani mchezaji wap hatari anatokea kuria.


Refer Newcastle Saint Maximin, Brighton Mitoma, na timu zinazotegemea winga kujenga mashambulizi.

Kitu ambacho siafiki kabisa ni Rashford kukaa kati hasa tukiwa 0-0 au tukiwa tumetanguliwa, yaani tunakua ndio basi tena hakuna spark tena.

Mfano Jana, na Mechi ya Liverpool. Tunawachezaji wabovu ndio ila kuna wengine wanajitahidi, mfano jana Martial kua kati alijitahidi kukaba tukawa tunawapokonya mipira Rashford akikaa kati ni majanga.

Tatizo lingine ni kocha inamaana hapitii video aone mbele kuna ubnafsi wa hali ya juu na kukosa ukatili kabisa.
Anthony anawaza kufumua shuti tu.
Kocha anatakiwa kuwa mkali asee. Tunarudi kule kule kwa Ole.

Naamini Anthony angekua anawaza kuassisst kelele juu yake zingezim maana angesaidia sana.

Mwisho inabidi timu isafishe MAGUIRE kwa hali yoyote, Kina Elanga, na wajinga wengine.

Msimu ujao kuwe na sura mpya zenye passion ya Licha.
Eric ten hag kabla hajawa jasusi la Dutch government aliwai kuwa mnajimu wa mambo ya kinyota hajui chochote kuhusu mpira
 
Arsenyau hapana kwa kweli, ni mara elfu City wavunje tu hio record ya SAF kuliko hizi Kima za Arteta kubeba Epl.
We fikiria tu Arsenyani baada ya kutufunga zile goli 3-2 waliitisha maandamano dunia nzima, sasa vuta picha wakifanikiwa kuchukua Epl si wanaweza kusababisha kutokea hata kwa III world war.

World war III duuuh bora wasibebe kombe
 
Naam,nakubaliana na mdau buffalo44 kuwa Wanbisaka ana mechi zake pindi timu pinzani ikiwa na winga mwenye makeke mengi kama Mitoma. Jana amemzima yule mjapani hadi akaonekana kama Saka tu.
Pale kwenye ulinzi wa kati tuendelee na combination ya Lindelof na Shaw angalau kunapatikana utulivu kuliko boss Maguire.
 
Tottenham wana jambo lao .nyumbu mta juta kiama kina washukia hii week
 
Back
Top Bottom