Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona mkali Jimmy Vardy anarudi Championship.
IMG_20230425_175320_552.jpg
 
Tottenham wana jambo lao .nyumbu mta juta kiama kina washukia hii week
 
View attachment 2598967
Bila ya huyu mjinga hatutoboi kwa mechi zilizobakia.

Nimekaa pale nawasubiria wabwatukaji na hoja zao
Inafikia kipindi inabidi tumpe sifa zake 10Hag hadi hapa tulipofikia. Man utd ina ufinyu wa kikosi kiasi kwamba akikosekana mchezaji mmoja tu wa kikosi cha kwanza,timu nzima inakosa uwiano mzuri uwanja iwe kwenye beki (martinez),kiungo (casemiro) au ushambuliaji (rashford na/au Bruno).

Hii timu inahitaji wachezaji sio chini ya 8 ili mwakani mwalimu asipate shida kama hizi.
 
Inafikia kipindi inabidi tumpe sifa zake 10Hag hadi hapa tulipofikia. Man utd ina ufinyu wa kikosi kiasi kwamba akikosekana mchezaji mmoja tu wa kikosi cha kwanza,timu nzima inakosa uwiano mzuri uwanja iwe kwenye beki (martinez),kiungo (casemiro) au ushambuliaji (rashford na/au Bruno).

Hii timu inahitaji wachezaji sio chini ya 8 ili mwakani mwalimu asipate shida kama hizi.
si alipewa ela akaishia kumsajil antony kwa 100 na magarasa wengne astahili sifa uyo n nyumbu anawang'ata na kuwapuliza oleguna alishawah kua namba2 na kikos cha elanga
 
Eric ten ni jasusi bobezi la Dutch government hapo MANCHESTER United lengo ni kuchota mipesa hapo unyumbuni na kuipeleka udachini
 
Captain Maguire kisiki ukuta wa Berlin ameshalishutia hilo jasusi la Ajax hapo MANCHESTER United ten hag
 
Back
Top Bottom