Et mpira ukubwani



scholes kaanza kucheza mpira akiwa mtoto ila kashindwa kuwa kocha bora pamoja na kuanza mpira utotoni kifupi huna logic
Post vitu usomeke hata kama utachapia angalau sio kila sentensi
Ukiacha rashford mchezaj gani wa ushambuliaji kafikisha goli 9 za ligi? Sancho mchango wake upo wap hata assist 5 hana halafu unapigania ubingwa huo ubingwa unataka kuiba? Kazidiwa hadi na antony ambae ana msimu mmoja tu ndani ya Epl tena katoka uholanzi
Bissaka anaonekana mzur kwa kukaba kwa sababu ya kushambuliwa sababu gani zinapelekea tunashambuliwa sana? Ina maana sisi muda wote ni kushambuliwa tu ili bissaka acheze vipi kutengeneza nafasi za kufunga ana asaist ngapi? Nipe jibu hapa wewe ulienza kushangilia mpir toka utotoni
Bissaka ni mchezaj wa akiba ikiwa beki muhmu zote zitaumia tia akilini
Liverpool tunawazidi point 6 tu tena wapo kwenye msimu mbovu sana ni kwa nini tunawazidi point chache hivyo?
Ukiwekewa sancho na saka unachukua yupi? Weka ushabiki pembeni kisha tuambie
Ganacho na Greenwood wana umuhimu mkubwa sana mbele ya sancho pengine sancho alikuwa ni wa dortmund sio manchester united kwa pesa aliyosajiliwa alitakiwa hata awe na assist hata 5 tu tunaweza kusema kwa kuwa hajacheza sana hadi kocha anampeleka kupatiwa matibabu awe sawa kahurumiwa kipaji chake ina maana hata kocha hajajua kama dogo kaanguka ila ww unajua? Huo muda yupo nje nani anafanya kazi yake vyema kuziba pengo? Unakuta hata kumkumbuka ni ngumu kwa sababu awepo au asiwepo hana mchango
Tupo kitambo kwenye hili jukwaa sio wapya huwa tunakaa kimya
Hadi muda huu ukisema utaje wachezaj kumi bora wanaotokea pembeni epl sancho hatoki na cha ajabu unataka aendelee kuwepo kwenye timu ambayo kila msimu inatakiwa kushinda ubingwa
Pep alimuacha Sane na ferran Torres hao walikuwa hovyo?
Pep alimuacha sancho hakuoma kitu?
Timu bora huwa na wachezaj bora wa kukupa matokeo bora wakati wowote
Watu kama ww ndio mnaosababisha wakina martial kuendelea kuwepo pale na kufanya ujinga mkiamini kesho wataamka na umr unakwenda timu inakula chuma 7 kila uchwao
Hadi analetwa WOUT WEGHORST ina maana mbela hakuna namna tena
Gabriel Jesus anauzwa ananunuliwa halland huyo Jesus kuna mtu wa kumuweka bench pale united?

Tunazidiwa magoli had na newcastle halafu unataka masharobalo waendelee kuwepo kisa mpira unaujua toka utotoni kazi ipo
Akiumia tu rashford kwisha habar