Huyu mwamba katuwakilisha vyema sisi wanna wa Chelsea ni wanna wa Mungu, Sasa ninyi kunguni munajiita sijui red Devo halafu munategemea kupata matokeo mazuri kama sisi watoto wa Mungu Chelsea..hahaha mutakaa sana 😂😂🤣Wewe muda wakumuomba Mungu kikombe cha Madrid kikuepuke uko kupiga makelele humu umeomba saa ngapi kikombe kikuepuke.View attachment 2182493
View attachment 2182574
miaka 3 iliopita tulifungwa magoli 4 na everton, wachezaji 9 waliokuwepo kwenye kikosi kile pia walikuwepo kwenye kikosi kilichocheza jana. Ujinga nao ni kipaji. fuentte
Huenda wachezaji wengi sana wa United wamechoka kuchezea timu hivyo wanahitaji kuondoka.View attachment 2182574
miaka 3 iliopita tulifungwa magoli 4 na everton, wachezaji 9 waliokuwepo kwenye kikosi kile pia walikuwepo kwenye kikosi kilichocheza jana. Ujinga nao ni kipaji. fuentte
Kwann Maguire hafanyi kazi yake..Kwa hiyo anaongoza wapumbavu??Kazi ya kocha mpya akija kwanza ni kupiga panga wachezaji
MOU alichekwa lakini tatizo la MAN U ni tangu kipindi cha MOU. Akina POGBA na Co wanataka kujifanya miungu hapo Old Traford. wasipofyekwa kama Arsenal walipomfeka Auba timu ikatulia
Kuna wacheza by nature wasiporidhika wanamwaga sumu dressing room na kuondoa morale na team work spirit kwa wachezaji na hiovyo kuwa chanzo cha uchezaji mbaya
Hii iko wazi, nimewafuatilia wacheza wa Manure uwanjuani utafikiri wanasindikiza maarusi, mwendo wa poler hawapress wala hawatengenezi nafsi na hata zikitengenezwa kama konokono
Sura ngeni tu ndizo zitakazoiponya hii timu angalau klwa plan za msimu ujao
Hesgoal.com walikuwa wanaonesha mpira vizuri sana kuliko hao hesgoal.tv.Cheki hesgoal.tv
hesgoal.com hawaweki game za PL
Magwaya hana leadership, timu inajichezea tu yenyeweKwann Maguire hafanyi kazi yake..Kwa hiyo anaongoza wapumbavu??
De Gea said: “In my career, I have played against prime Ronaldo, prime Messi, Aguero, Luis Suarez, Neymar, and MBappe… However, none strikes fear in my heart more than Maguire.“Maguire Is The Hardest Opponent I Have Faced in My Entire Life”
-De Gea
Magwaya hana leadership, timu inajichezea tu yenyewe
amejifunza kutoka wenzake walionyimwa mamlaka, unamtaka grealish unaletewa amad. Ni mfano tu nimetoaKuna tetesi tunaelekeankumkosa Eric ten hag Nux gan hii