Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Skizeni nyie matakataka, tuwape Bakayoko na Batshway waje kuwasaidia maana kwa utopolo munaocheza basi hawakosi namba wale ..Bakayoko ni middle na nusu ..huyu Batshway ndio balaaa haakuna uingereza nzima..
 
Kama hatumpi clear plan na strategies za uhakika sio za kipuuzi ambazo zimekua zikifanyika kwa miaka ya hivi karibuni, kukaa unawasikiliza akili zilzochoka zenye mawazo ya miaka 70 iliyopita kama akina fergie na genge lake, wamiliki wasiokua na pesa, uchu na mafanikio ya timu, unategemea nini?

Hata upangaji wa timu naamin kabisa ni wa shinikizo kutoka kwa akina fergie ( uingereza dna bulsht), kwa mtu anayecheza utumbo mavi kunuka kama magwaya still bado anapangwa na bila aibu unampa na ucaptain, unategemea nini kama sio cristiano avunje simu za mashabiki na de gea kuonekana akimhamaki magwaya kwa upumbavu anaoufanya..kuna shida kubwa ndani..narudia kusema, hii timu tukipata wamiliki wengine serious tena waarabu wenye pesa zao na kuvunja structure nzima na kuunda upya, kuondoa wachezaji MATAKATAKA MIZIGO WANAOKULA NA KUNYA TU BURE ndio tutaanza kuona neema ya makombe makubwa kama EPL na UEFA..tofaut na hapo tutaendelea hivi kwa miaka 10 ijayo
kwa fegi sina shaka yupo ndo mana fletcher kala shavu
 
Mechi anazo takiwa ashindee ana poteza point,Usishangae akapata draw na Norwich .

Rangnick siyo kocha ni Kashasha ambae ni mjerumani.

Eti kawafundisha Klopp na Tuchel .Tusubiri tuone,SI atakutana nao wanafunzi wake
Itakuwa aliwafundisha mpira wa mchangani siyo hii profeshno football😀😀🤣
 
Rangnick angepewa miaka 4, kuijenga team

Huku kubadilisha makocha ndio kunaipoteza nyumbu mazima

Maana akija huyo Ten hang mjue tuanza na moja,
Alafu cv ya rangnick ni kubwa kuliko huyo kilaza mnaempigia kelele hapa

Kufungwa goal moja na Everton ni jinsi gani hampo vibaya sana
Ukisikia shetwaani ndiyo huyu Sasa😂😂😂😂 ..anakwambia endesha gari spidi uwezi para ajali, ukipata anakucheka hahaha, eti wampe miaka minne huyu gengeni style..😳😳😳
 
Leo inatakiwa tushinde ili OllaChuga Oc aendelee kujificha huko huko kwa rikiboy
Hahahahahaha woooyowooyowooyooo wazee wa mijegeje tumerudishwa kwa Kasi ya duma na vijana wa lampard, apa ni mwendo was kuwasagia kunguni TU
Tusikitike kwanza tchetchetche!! Alafu tutoe machozi kidogo kwa msiba huu😭😭😭

Halafu Sasa tuanze kuwacheka hahahaha😂😂😂🤣🤣

Tuimbe Sasa alafu .."nyumbu ni nyumbu TU, ooohoo nyumbu bwana, atabaki kuwa nyumbu TU"×2😂😂😂
 
Back
Top Bottom