mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,225
Ata walipopata 2 spurs, nilikua Sina wasiwasi na low block itakayowekwa pale nyumaTulipunguza sana intensity second half halafu tukawa kama tunapooza mashambulizi aisee. Ghafla, mistake ya Raya na penalty ikawapeleka Spurs mpaka 2-3. Mechi ya mfululizo away bila kufungwa ikapotea lakini muhimu 3 points. Tulikuwa tumemuacha City kwa magoli 11 ila sasa ni 9 ila tuendelee tu kushinda tuone mwisho utakuwaje.
Nyumbu tupige 4, ili kuweka gap la magoli vizuri
City tutamkamatia mbele kidogo,
Fulham, spurs
| QUICK STAT