Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,731
[emoji23][emoji23][emoji23] watu wamechoka nimecheka sana watupe timu tucheze wenyewe.
Daah Ila huyu mwamba yupo dunia ya peke yake🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24]View attachment 2181894
😂😂 Daaah nmecheka sana, ila magure ana nafasi yake mbinguni
maguire huwa akili inafanya kazi very slow
Mechi anazo takiwa ashindee ana poteza point,Usishangae akapata draw na Norwich [emoji1787][emoji1787][emoji1787].Rangnick angepewa miaka 4, kuijenga team
Huku kubadilisha makocha ndio kunaipoteza nyumbu mazima
Maana akija huyo Ten hang mjue tuanza na moja,
Alafu cv ya rangnick ni kubwa kuliko huyo kilaza mnaempigia kelele hapa
Kufungwa goal moja na Everton ni jinsi gani hampo vibaya sana
Sasa hivii wachezaji ndo wanapelekewa lawama[emoji1787][emoji1787] wakati sifa alizo kuwa anapewa mpaka kuwa contender wa UCL[emoji13][emoji13][emoji13] si mchezoI remember wakati Ragnick anakuja Manchester United alipewa sifa lukuki nazikumbuka 2
1)Mzee wa Pressing Dunia itajua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
2)Mwalimu Mkuu wa Tuchel na Klopp [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi pale Manchester United kuna madaktari wa Afya ya Akili kweli!? Mbona baadhi ya wachezaji wanaonekana kabisa wamepagawa/kuchanganyikiwa na akili na hawapewi huduma husika. Captain ni mhanga