D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,021
baada ya norwich na unavyopenda utani unaweza kumbetia manchester united.Next game mnajua mnacheza na nani
Liverpool
Anfield![]()
baada ya norwich na unavyopenda utani unaweza kumbetia manchester united.Next game mnajua mnacheza na nani
Liverpool
Anfield![]()
Tupigwe tu hakuna namna.....baada ya norwich na unavyopenda utani unaweza kumbetia manchester united.
Nani atanisaidia... solsicher aliwapanga watoto wa academy graduates, tulishinda shida mechi ngumu wakati alivyoanza kama mnakumbuka.. tulijipigia PSG,an city Hawa piga, ...ni nini kilimfanya aaache Ile mbinu ya kuwachanganya watoto.. nisaidieni jawabubaada ya norwich na unavyopenda utani unaweza kumbetia manchester united.
Mnajiita mashetani alaf mnaomba nini sasa , ondoeni Hilo jina , jitakaseni ndo muombe sasa na Mungu wa Mbinguni atawatakabali🤗Wazee naombeni tuache drama....tuanze kuiombea man United me nahic ni laana coz sioni wa kumlaumu
sijui kwanini tumefika hapa.....tunakazi kubwa sana ya kufanyawachezaji wa everton walikimbia km10 zaidi ya wachezaji wa manchester united.
Moderator
Mimi naona huu uzi wetu ufungwe tu, sioni hata umuhimu wa kuwepo, ufunguliwe siku kuna mabadiliko makubwa kwenye hii timu.





Maguire nini hasa kinamuweka pale UTD?
Hii inaitwa rebuild inayohitaji kufanyiwa rebuild tenaView attachment 2182574
miaka 3 iliopita tulifungwa magoli 4 na everton, wachezaji 9 waliokuwepo kwenye kikosi kile pia walikuwepo kwenye kikosi kilichocheza jana. Ujinga nao ni kipaji. fuentte
Huyu upande wake anasubiri confirmation call. Maamuzi yamebaki ktk bodi ya timu kukubaliana kama wampe kazi au lah.Kuna tetesi tunaelekeankumkosa Eric ten hag Nux gan hii