Kuna mpuuzi kaandika eti wachezaji wana mgomo


Yan kuna vichwa panzi bado wanaamini, bisaka, magwaya, Fred, lindelof, shaw, cr7, n.k
Wanaweza kutoa kitu kikubwa zaidi ya hapo

Tukutane second half, hii ni bao moja zito
 
Maguire was dabbing when Atalanta scored their second.
IMG_20211020_225347_996.jpg
 
Labda wanasikiliza ushauri wa Fergie

They hope to get another Ferguson

Zama zimebadilika sana siku hizi
Hii habari ya united way na manchester DNA inatakiwa iishie hapa. Tunahitaji mataji na sio utamaduni ambao hata hauna miaka 30+ wakati timu ina miaka zaidi ya 100+
 
Sijafurahishwa na usajili wa Christiano Ronaldo.
Why?

Ronaldo ana miaka 36 as of today amepewa Contract mpaka 2023.

Kununuliwa kwa Ronaldo kutatuathiri hapa.
1. Hatutaweza tena kununua DM kwajili ya kuifanya timu yetu icheze kwa uhuru zaidi.

2. Usajili wa Ronaldo unaenda kupunguza gametime kwa Mason Greenwood, Rashford even Sancho kwa sababu either Ronaldo atatakiwa kucheza kama striker au Left wing.

3. Usajili wa Ronaldo unaenda kufifisha zaidi ndoto ya kumsajili Haalland au Striker mwingine yoyote katika kikosi chetu kilichopo kwenye rebuild.

4. Usajili wa Ronaldo unaenda kuongeza idadi ya wazee pale United kutoka watano mpaka kufikia 6. Mata, Matic, Heaton, Grant, Cavani, na Ronaldo.

5. Uwepo wa Ronaldo mwenye miaka 36 uwanjani unaenda kutufanya tucheze na mchezaji mmoja pungufu kwa sababu Ronaldo wa sasa hakabi, anakabika kirahisi sana na tukumbuke timu yetu inacheza kwa tabu sana kwenye final third.

6. Tunalazimika kutafuta mfumo mpya wa uchezaji kuaccomodate CR7 katka kikosi chetu.hii itahitaji muda pia.


Swali la kizushi je tumemsajili CR7 kwa sababu tunamhitaji au tumemsajili ili asiende Man City???


Welcome the GOAT.
Daemusin Chief Mkwawa nafikiri hoja zangu namba 5 na 6 zimeanza kutupa majibu mapema sana.

Pamoja na mapungufu yetu ya kocha na kukosa muunganiko wa maana Ronaldo kwenye kikosi chetu ni tatizo la tatu.


Nimeacha rasmi kuangalia match za Man United toka game ya Leceister City.

Kama Chusa alishaacha kuangalia mimi ni nani ???
 
Daemusin Chief Mkwawa nafikiri hoja zangu namba 5 na 6 zimeanza kutupa majibu mapema sana.

Pamoja na mapungufu yetu ya kocha na kukosa muunganiko wa maana Ronaldo kwenye kikosi chetu ni tatizo la tatu.


Nimeacha rasmi kuangalia match za Man United toka game ya Leceister City.

Kama Chusa alishaacha kuangalia mimi ni nani ???
Rashidi makame humuoni anavyofanya upuuzi wake tuliouzoea.
 
Back
Top Bottom