Hivi wewe uliapa kwamba utatembea uchi Hadi posta Chelsea ikishinda SupercupWewe Chelsea una Nini kenge wewe
Epl Kuna timu mbili tu ...
Liverpool & man city ...
Chelsea ni kilaza tu anayeongoza mid -term test ..
Atawekewa ukuni aktembea uchiHivi wewe uliapa kwamba utatembea uchi Hadi posta Chelsea ikishinda Supercup
Nauliza hivi ulishatembea
OLE SIYO GAIDI, OLE SIYO GAIDI APEWE MUDA.
Unataka alie auHuyu kocha hii mentality aliyonayo hawezi kupata mafanikio katika kazi hii ya ukocha, eti timu ishapigwa mbili wachezaji wanakosa magoli ya wazi yeye anaenda half time akipiga makofi.
Hii habari ya united way na manchester DNA inatakiwa iishie hapa. Tunahitaji mataji na sio utamaduni ambao hata hauna miaka 30+ wakati timu ina miaka zaidi ya 100+Labda wanasikiliza ushauri wa Fergie
They hope to get another Ferguson
Zama zimebadilika sana siku hizi
Nawewe unatuchanganya sasa, mara Man You mara Davide MoiseHivi Mashabiki hawawezi kugomea kutoingia Mechi za Man You, Maana Hata David Moise Tulihangaika Naye Sana
Daemusin Chief Mkwawa nafikiri hoja zangu namba 5 na 6 zimeanza kutupa majibu mapema sana.Sijafurahishwa na usajili wa Christiano Ronaldo.
Why?
Ronaldo ana miaka 36 as of today amepewa Contract mpaka 2023.
Kununuliwa kwa Ronaldo kutatuathiri hapa.
1. Hatutaweza tena kununua DM kwajili ya kuifanya timu yetu icheze kwa uhuru zaidi.
2. Usajili wa Ronaldo unaenda kupunguza gametime kwa Mason Greenwood, Rashford even Sancho kwa sababu either Ronaldo atatakiwa kucheza kama striker au Left wing.
3. Usajili wa Ronaldo unaenda kufifisha zaidi ndoto ya kumsajili Haalland au Striker mwingine yoyote katika kikosi chetu kilichopo kwenye rebuild.
4. Usajili wa Ronaldo unaenda kuongeza idadi ya wazee pale United kutoka watano mpaka kufikia 6. Mata, Matic, Heaton, Grant, Cavani, na Ronaldo.
5. Uwepo wa Ronaldo mwenye miaka 36 uwanjani unaenda kutufanya tucheze na mchezaji mmoja pungufu kwa sababu Ronaldo wa sasa hakabi, anakabika kirahisi sana na tukumbuke timu yetu inacheza kwa tabu sana kwenye final third.
6. Tunalazimika kutafuta mfumo mpya wa uchezaji kuaccomodate CR7 katka kikosi chetu.hii itahitaji muda pia.
Swali la kizushi je tumemsajili CR7 kwa sababu tunamhitaji au tumemsajili ili asiende Man City???
Welcome the GOAT.
Rashidi makame humuoni anavyofanya upuuzi wake tuliouzoea.Daemusin Chief Mkwawa nafikiri hoja zangu namba 5 na 6 zimeanza kutupa majibu mapema sana.
Pamoja na mapungufu yetu ya kocha na kukosa muunganiko wa maana Ronaldo kwenye kikosi chetu ni tatizo la tatu.
Nimeacha rasmi kuangalia match za Man United toka game ya Leceister City.
Kama Chusa alishaacha kuangalia mimi ni nani ???
Achana na upuuzi wa Rashford tatizo la Ronaldo linatuathiri tactically uwanjani pamoja na kucheza pungufu.Rashidi makame humuoni anavyofanya upuuzi wake tuliouzoea.