Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole inabidi atambue kuna tofauti ya kuwa patience na plan zako na plan kuonekana kufeli, huyu jamaa plan zake zimefeli na hataki kukubali ukweli kuwa zimefeli hazifanyi kazi maana hakuna sababu ya kuchezesha Macfred kama kufungwa kuko palepale sasa analinda nini.
 
Chelsea sisi tukitimua makocha kuna washamba huku mnatucheka, vumilieni tu Ole bado anaijenga timu ya ushindani
 
IMG_9636.jpg

Man U wameangakia huu msimamo wakasema Tukipoteza Game Ya Leo Ole Atafukuzwa Xinazobaki tunafuzu
Ole Out
 
Ole inabidi atambue kuna tofauti ya kuwa patience na plan zako na plan kuonekana kufeli, huyu jamaa plan zake zimefeli na hataki kukubali ukweli kuwa zimefeli hazifanyi kazi maana hakuna sababu ya kuchezesha Macfred kama kufungwa kuko palepale sasa analinda nini.
Hata mimi nimeshangaa
 
Board ya united bado inamsapoti Ole ila imemtaka aboreshe kiwango cha ucbezaji pamoja na matokeo mazuri.
My take.
Ikitokea Ole akashinda mechi za Liverpool na man city basi tunaye sana tu.
Sijui hawa jamaa wanaona nini ndani ya Ole ambacho sisi tumeshindwa kukiona ndani ya miaka 3 ya Ole!
Labda wanasikiliza ushauri wa Fergie

They hope to get another Ferguson

Zama zimebadilika sana siku hizi
 
Board ya united bado inamsapoti Ole ila imemtaka aboreshe kiwango cha ucbezaji pamoja na matokeo mazuri.
My take.
Ikitokea Ole akashinda mechi za Liverpool na man city basi tunaye sana tu.
Sijui hawa jamaa wanaona nini ndani ya Ole ambacho sisi tumeshindwa kukiona ndani ya miaka 3 ya Ole!

Hivi Mashabiki hawawezi kugomea kutoingia Mechi za Man You, Maana Hata David Moise Tulihangaika Naye Sana
 
Back
Top Bottom