Ole akil hana..we msikilize leo.baada ya hii comeback atakavojinasibu na sikiliza walio nyuma yake watakavo tetea..yan unaona kbs team hii ni ya amasa lkn kimbinu iko chini sana...leo anapuliza nahis jumapili atangata yan ndo mchezo wa bwana ole na fans wake wengne wanamuona wa maana kbsNilimwambia kama kocha ni ole hakuna cha maana hata tumlete messi na ronaldo kwa pamoja.
Mimi hata Man U ikifungwa, akifunga Ronaldo huwa najisikia amani.Namaanisha hata kama team imepoteza, kuwepo tu goli lake nafurahi.Ronaldooooooooooooo
Kukaba sio kazi yake, angalia huyu kocha mbwa anaenda kuharibu timu kwa kukaba.Achana nao mzee, ingawa hakabi ila ana tu save sana
Hiyo kazi ya kukabia juu mlishampa Mugalu na nadhani anatosha, Ronaldo hawezi kubali kusifiwa kwa huo ujinga yeye ni goal machine tangu utoto wakeSawa lakini angalau angekua anajitaidi kukabia juu kiasi ili viungo visiwe na kazi kubwa ndio maana kina fred wanachoma sana
inakera sana.
Mimi hata Man U ikifungwa, akifunga Ronaldo huwa najisikia amani.Namaanisha hata kama team imepoteza, kuwepo tu goli lake nafurahi.
Ila kama kweli Ole anaipenda Man U ,kwanini asifikirie hata kujiuzulu?
Mkuu hulu jf kuliwahi kuzuka utetezi juu ya tatizo la kutokufunga kwa Mugalu, watu wakawa wanasema eti "Mugalu ni mzuri anakabia juu anawa-hold mabeki" nikawa nawaona wapumbavu kweli, yani usajili mshambuliaji kwaajili ya kukaba mabeki? 😂😂😂![]()
![]()
. Daah sawa mkuu ila man u Fernandes mtu tuache mahaba hapa
Plastic fan. Hopeless.Japo ni Shabiki wa Man U lakini kila bet naiua tu.