John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,003
- 2,267
Anafaa Sana pale unyumbuni kabisa mkuuSiungi mkono juhudi za watu kutaka ole aondoke,kiufupi ni wivu tu na fitina .Kila mwanadamu anakosea apewe muda ni world class coach ,sisi washabiki wa team tofauti mapepo mekundu tunamuunga mkono Ole